Recent content by Kudasai

  1. Kudasai

    Albums na hit songs za kwaya za kikatoliki

    Mkuu, pandisha [upload] nyimbo hapa.... Acha maneno matupu[emoji1][emoji1]
  2. Kudasai

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mbona bati nyingi sana mkuu kwa ukubwa wa hiyo nyumba yako! Nusu ya bati ningeweza kubali... yaani 80. Hata hizo mbao za 4x2 ni nyingi!
  3. Kudasai

    "Call recording" kwa simu za google pixel

    Oppo A83 ina "inbuilt function" unarekodi wakati wa kuongea. Huitaji external app.
  4. Kudasai

    Nipeni ushauri kuhusu huyu mwanamke maana sielewi

    Mkuu, anahitaji ushauri gani wakati anasema alishaamua kumove on! Wenzetu hawa ni ngumu kujua wanataka nini exactly.
  5. Kudasai

    Mafuta ya mise au mbosa

    Mise au mbosa! Duh, sijawahi sikia hili zao. Ngoja wajuzi waje.
  6. Kudasai

    Naomba ushauri wakulima wenzangu

    Mkuu, ungedadavua kwa upana ili uweze saidiwa kirahisi. The issue you are asking is very broad!
  7. Kudasai

    Pongezi kwa Chuo Kikuu SUA

    Vijana wetu wametangulia[emoji22][emoji22] Pongezi nyingi kwa SUA
  8. Kudasai

    Kufuga Sungura kibiashara?

    Huyu member@isackmichael9 sijui kama bado yupo. Aliweka bandiko na kupotea mazima!
  9. Kudasai

    Wassira: Pole Sana Singida kwa kuzaa mwongo mwandamizi

    Niliwahi sikia mzee ana ekari zaidi ya 200 huko Kihuluka (usiniulize ni wapi) lakini hajaendeleza hata moja na imepita zaidi ya miaka 10. Utamfanya nini[emoji144][emoji144]
  10. Kudasai

    Mazda CX 5 fuels consumption (petrol)

    Yeah, nyingi ama zote ni diesel. Engine size ni 2.2L so fuel consumption is very economy. Brand nyingi ni za Japan, ila CX-7 ni brand ya Singapore
  11. Kudasai

    Nizingatie nini na kwenda kuonana na ndugu wa binti wa kimeru

    Mkuu, mie NAKAZIA hapa. Ceftriaxon amemaliza almost kila kitu. Btw nimeoa kule Nkoasenga, King'ori.
  12. Kudasai

    Naomba msaada wa ramani na makadirio ya vifaa

    Nyumba ni ya kawaida ila complicated! Nyumba ina vikorido vingi, so lazima tofali ziende nyingi. Vyumba nadhani ni vikubwa.... mfn. sitting room ya 5.00M.
  13. Kudasai

    Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

    Mkuu, kwani hujui tofauti ya herufi "o" na namba "0". Unazingua ujue[emoji125][emoji144]
  14. Kudasai

    Napata maumivu kwenye maungio ya mguu na kiuno

    Mkuu pole sana. Uzito wako ni mkubwa? Nashauri uende hosp ukafanye kipimo cha X-ray eneo la "femoral/pelvic joint". Bila shaka baada ya hapo utajua nini cha tatizo.
  15. Kudasai

    Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

    Mkuu, una chuki naye binafsi?
Back
Top Bottom