Bashe na Mwigulu hawafai kabisa kuendelea kuwa Mawaziri. Wanahusishwa na kashfa chafu na ufisadi.
Umemsikia Mpina akiongelea kampuni ya ITEL, iliyopewa tenda ya kuagiza sukari maradufu ya kiasi kilichohitajika!
Kuna jamaa mmoja alikuwa anahadithia jinsi kuku wanavyochinjwa pale soko la Shekilango! Kuku wanapangwa mstari kama 10 hv halafu kisu kimoja kinapita "fyaaaa" wanaachiwa wanaruka ruka wenyewe! Daaah
Daah, kweli inaonyesha umeumia sana mkuu!
Lakini hujasema ni machinjio ya wapi!
Kimsingi hapo inaonyesha wazi ukiukwaji wa haki za wanyama (animal welfare). Tena inatakiwa uchinjaji ufanyike kibinadamu (humane slaughter) bila kumletea mnyama maumivu.
Haya mambo yote yapo kisheria kabisa (Animal...
Mkuu,
Nenda uchukue mke wako!
Kumshushia mke kipondo kwa sababu eti ulikuwa tungi hiyo haikubaliki.....kubali umekosa na uombe radhi.
Kama umeshakaa na mwanamke miaka zaidi ya 5 na mmepata watoto 2 huyo ni mke tayari....na umesema hujawahi kuhisi usaliti wowote hiyo inampa thamani zaidi huyo...
Unajua kuna baadhi ya bidhaa ukitaka kuagiza/kununua kampuni husika (supplier) anakuwa amesha set shipping courier kwa hiyo mteja inakuwa ngumu kutafuta agency tofauti!
Wasalaam!
Kwa kweli hili jambo limekuwa linanipa shida sana tena kwa muda mrefu! Ni kwanini kusafirisha mizigo kutoka Japan kuja Tz ni gharama kubwa?
Mfano: Mzigo usiozidi 2kg utasafirisha kwa $30 by Sea freight, $230 by UPS na $295 by DHL! Why is it so expensive?
Tena kwa njia ya Sea freight...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.