Naungana na nadharia inayosema Jamiiforums ilikua na wachangiaji wa maana miaka ya 2005 mpaka 10 huko, sasa hivi hata hamu ya kuchangia unakosa, kwasababu watu hawajengi hoja, wanaleta ushabiki wa kitoto, si unaona hapo juu, jitu zima badala ya kujenga hoja objectively kivipi China haiwezi...