VIDEO: Waziri wa fedha wa Nepal akikimbizwa mtoni na waandamanaji wenye hasira kali wakati wa maandamano ya kupinga ufisadi

VIDEO: Waziri wa fedha wa Nepal akikimbizwa mtoni na waandamanaji wenye hasira kali wakati wa maandamano ya kupinga ufisadi

Unataka nani akupiganie kama sio wewe mwenyewe maana hapo umejitoa kama wewe sio mtanzania na unaona huo upumbavu wa viongozi ila umekua keyboard warrior kukaa humu kutupa lawama Kwa wenzio hili ndilo tatizo la watanzania wengi
Mimi sio keyboard warrior.

Na huwa sisubiri mtu anipiganie.

Ukipita kwenye lane yangu lazima ukasimulie.
 
Unataka nani akupiganie kama sio wewe mwenyewe maana hapo umejitoa kama wewe sio mtanzania na unaona huo upumbavu wa viongozi ila umekua keyboard warrior kukaa humu kutupa lawama Kwa wenzio hili ndilo tatizo la watanzania wengi
Kama keyboard warrior hana maana kungekuwa hakuna haja ya kufungia mitandao twitter, jf, magazeti etc
 
Nepal Siyo ubongoni ....

Just dare ... Dare to even insult ..via social media .. Uone Cha mtemakuni
images (5).jpeg
 
Magumu yakikufika utajua Tu, vijana tunawaona mitaani wanapata Hadi pesa za ngono na pombe, unadhani Wana magumu hao?, watu wanakula Milo mitatu hata kama ni mihogo unafikiri Wana magumu hao?...Nimeangalia Tu kwenye mitandao jinsi huko Nepal raia wa chini wanavyoishi, ni kama Motoni.
 
Magumu yakikufika utajua Tu, vijana tunawaona mitaani wanapata Hadi pesa za ngono na pombe, unadhani Wana magumu hao?, watu wanakula Milo mitatu hata kama ni mihogo unafikiri Wana magumu hao?...Nimeangalia Tu kwenye mitandao jinsi huko Nepal raia wa chini wanavyoishi, ni kama Motoni.
Nipo nao huku nilipo WANEPAL wana maisha magumu sana kuliko bongo. ila watz safari ni ndefu mpaka kufika hizo stage
 
watanzania hata ccm na vyombo vya dola wakisema kesho watz wote mtabakwa wote kwa lazima hakuna atakayebekwa wote watafyata
 
Kuna mtu kule Twitter kasema atamnyonga na scalf yake 😹😹😹
Nitahikikisha hauwawi ili niweze kumkung'uta wiki nzima. Yule namchukuwa nakwenda mficha sehemu private,kila siku asubuhi kabla ya kuanza kumkung'uta nampa kahawa na energy drinks, ili nikiwa nampiga awe na nguvu za kupokea mkong'oto.
 
Nitahikikisha hauwawi ili niweze kumkung'uta wiki nzima. Yule namchukuwa nakwenda mficha sehemu private,kila siku asubuhi kabla ya kuanza kumkung'uta nampa kahawa na energy drinks, ili nikiwa nampiga awe na nguvu za kupokea mkong'oto.
😹😹😹
 
Back
Top Bottom