Recent content by Kuchakuro Ps

  1. Kuchakuro Ps

    Ni aibu kijana wa miaka 30+ kukosa nyumba, gari na kipato cha kueleweka

    Anaweza kuwa sio Mtoto, Lakini ni mmoja wa wale wamezaliwa na baba zao walishazikusanya zakutosha. Kwahiyo anashangaa inawezekana vipi mtu kukosa pesa na Gari?
  2. Kuchakuro Ps

    Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

    Umeshindwaje kumzuia asifanye huo uharibifu, ukapata nguvu za ku record?
  3. Kuchakuro Ps

    Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

    Wanaosema fulani ni Mtu mzuri, ni watu Wengine. Hakuna anayejizungumzia vibaya.
  4. Kuchakuro Ps

    Tatizo la ajira: Sekta binafsi inatumia upepo wa "Volunteering" na "Internship"

    Familia zetu Wengi ni Masikini. Umasikini huu, unapelekea Wengi wetu kushindwa kuwapa Watoto wetu elimu inayoendana na mahitaji ya wakati, lakini pia inayoendana na Rasilimali zilizopo. Fursa Zipo zinatuhitaji pesa. Vijana wapewe hizo nafasi za internship, wapate Chochote wakajiajiri. Inawezekana.
  5. Kuchakuro Ps

    Tatizo la ajira: Sekta binafsi inatumia upepo wa "Volunteering" na "Internship"

    Watu wafundishwe kuwa watu. Tuendelee kuwa wabunifu katika kutengeneza ajira. Na ukipata Neema ya kuwa mwaajiri, usitumikishe watu bure kwasabu wahitaji ni Wengi na kwamba ukifukuza watakuja wengine. Namna hiyo inakuwa siyo Sawa.
  6. Kuchakuro Ps

    Kila story itamsifia muwindaji hadi pale simba atakapojifunza kuandika

    Kwenye ujenzi wa kizazi imara kinacho fuata kuna mambo matatu ya kuzingatia Malezi, ngano na Elimu. Tukirejea maelezo hayo ambayo ni Sehemu ya andiko lako. Je kuna haja ya kujua kama ngano nzenyewe ni Sahihi au ni za Uongo? Naona kama kwa maelezo ya Mwandishi Zipo ngano zinazohusu wa Africa na...
  7. Kuchakuro Ps

    Dar ni sehemu ya ovyo sana

    Hiyo ni Dar Sehemu GANI Mkuu? Na ni mkoa gani mwingine unaulinganisha na Darisalama katika utoaji wa huduma Bora kwa Wateja.
  8. Kuchakuro Ps

    Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

    Ubinafsi ni tatizo Kubwa sana kwa kizazi cha sasa. Kila mmoja anajifikiria yeye tu, hakuna anayefikiri juu ya Wengine. Unahamasisha kuto kuoa, lakini unataka kuzalisha wanawake ambao wewe huna mpango wa kuwaoa Ili ulee watoto. Je, wewe nae Baba ako alizalisha hivohivo? Unafikiri kama ungezaliwa...
  9. Kuchakuro Ps

    Mwanaume anayepinga kuoa na ndoa halafu yupo magetoni anahangaika na masufuria kupika, ni masikini wa akili

    Mtu mmoja akifanya Kampeni ya Kukataa Ndoa, kwa Imani kwamba Ndoa ni kitu kibaya ni Sawa. Na mtu mwingine akihamasisha watu kuoa kwa kuonesha uzuri wa kuoa ni Sawa pia na asizuiwe. Japo Ndoa ni Njema achilia Mbali Changamoto zake. Kukataa Ndoa ni Uhuni hata kama utakuwa na sababu nzuri Kiasi gani.
  10. Kuchakuro Ps

    TEMESA, kazi ya vivuko Kigamboni imewashinda?

    Mahitaji ya pale sio vivuko vya aina ya C-tax. C-tax wapeleke kwenye Mito. Japo vinasaidia kwa kiasi fulani.
Back
Top Bottom