Recent content by Kubwa kubwa

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mzigo umeshatoka,chek salio
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    CRDB tayar
  3. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    We jamaa matako yako!! Acha kuwaonea walimu pumbavu we, kuna siku nitakutia makofi lofa weh.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ila mijamaa ya mabenk ndo inatufelisha au vp wadau.?? mbona hazina inaonekana mzigo ulishapita tangu jna.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Unamaanisha mzigo tayar au.?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nilipanda basi la usiku kulekea Bukoba, nikalala mapajani kwa mkaka, nilienjoy sana

    Ulitoa 30k kwa ajili ya K,We lofa tz hii.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Malisa GJ adaiwa kutelekeza wanae watatu

    Namkubali sana TAL,elewa hilo.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Malisa GJ adaiwa kutelekeza wanae watatu

    Muonekano wa malissa ni mtu anayeongeka muda wowote ila yule mwamba TAL kumanina zake,Nampa heshima zake hadi naingia kaburini.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Je, wajua? Kwa chini kabisa, msichana/mwanamke mzuri anatongozwa mara 2 kila siku; kwa mwaka mara 730. Halafu unadhani wewe ndio umemgundua umtongoze?

    Uzi wako ungeanza na maneno "Nashindwa kuelewa" ningesoma..,vinginevyo acha nipite tu.
  10. K

    JamiiForums Tanzania To be honest nachukia sana vumbi

    Vumbi afrika linaongeza Kinga ya mwili na Nguvu za kiume......Hahaha!!! Natania mdau wangu,hili vumbi ukiwa na mzio nalo ukiongeza baridi unakuwa na shughuli nzito ya kupumua usiku.
  11. K

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi tumewekwe utaratibu wa kuuza mkopo lakini benki zinabana badala yake zinataka tuongeze mkopo juu ya mkopo

    Ndugu,Mi nipo upande wa watumishi tunaokopa haijalishi unakwenda kutumiaje mkopo huo ila hizi taasisi za mikopo zinatukamua kinoma nafikiri ni muda sasa wa benki kuu kukemea wizi wao.
  12. K

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi tumewekwe utaratibu wa kuuza mkopo lakini benki zinabana badala yake zinataka tuongeze mkopo juu ya mkopo

    Hapo kwenye kutopup ndo nilishindwa kabisa kuvumilia wizi wao yaan bora nianzishe mkopo mpya na taasisi nyingine kuliko kuvumilia wanavonipiga za uso mchana kweupe.
  13. K

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi tumewekwe utaratibu wa kuuza mkopo lakini benki zinabana badala yake zinataka tuongeze mkopo juu ya mkopo

    Yaan hizi taasisi zinapunguza riba za mikopo kuzuga wajinga kisha zinakuibia kwenye bima kwa %.Ukiongeza na ada ya maombi ya mkopo unawaachia benki 1.8m
  14. K

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi tumewekwe utaratibu wa kuuza mkopo lakini benki zinabana badala yake zinataka tuongeze mkopo juu ya mkopo

    Hawa majamaa na mariba yao wanavizia walimu wa ajira mpya wasiokuwa na uelewa mpana kwenye ishu za mikopo na riba,ukijichomeka tu....umeisha.
  15. K

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi tumewekwe utaratibu wa kuuza mkopo lakini benki zinabana badala yake zinataka tuongeze mkopo juu ya mkopo

    Taasisi zenye riba kuanzia 20% na kuendelea kwanini utumishi wasizitoe kwenye mfumo wa ess,Pia kuna taasisi zimeandika riba ya 17% ila ukijaribu kuapply mkopo unakuta wana riba ya zaidi ya 40% ukienda kichwa kichwa wanakumaliza.
Back
Top Bottom