Vumbi afrika linaongeza Kinga ya mwili na Nguvu za kiume......Hahaha!!!
Natania mdau wangu,hili vumbi ukiwa na mzio nalo ukiongeza baridi unakuwa na shughuli nzito ya kupumua usiku.
Ndugu,Mi nipo upande wa watumishi tunaokopa haijalishi unakwenda kutumiaje mkopo huo ila hizi taasisi za mikopo zinatukamua kinoma nafikiri ni muda sasa wa benki kuu kukemea wizi wao.
Hapo kwenye kutopup ndo nilishindwa kabisa kuvumilia wizi wao yaan bora nianzishe mkopo mpya na taasisi nyingine kuliko kuvumilia wanavonipiga za uso mchana kweupe.
Yaan hizi taasisi zinapunguza riba za mikopo kuzuga wajinga kisha zinakuibia kwenye bima kwa %.Ukiongeza na ada ya maombi ya mkopo unawaachia benki 1.8m
Taasisi zenye riba kuanzia 20% na kuendelea kwanini utumishi wasizitoe kwenye mfumo wa ess,Pia kuna taasisi zimeandika riba ya 17% ila ukijaribu kuapply mkopo unakuta wana riba ya zaidi ya 40% ukienda kichwa kichwa wanakumaliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.