We jamaa utakuwa mbumbumbu au mjinga.Mbona ulichokiandika hakina uhusiano na lissu,Wewe na Chama chako ndyo mnatakiwa mjifunze kwa TAL na kumuelewa mzalendo wa kweli anachokipigania.
Nimeiona Tz yangu,pamoja na kuzungukwa na maji pande zote bado inategemea mvua za msimu kwenye Kilimo,Hilo eneo lilitakiwa wakae ngozi nyeupe ili wailishe Dunia.
Ukiwa na mihemko unaweza hisi Golugwa amekula pesa za abdul,Maana anashindwa hata kukumbuka Ushahidi wake wa jana.Hawa mawakili wa serikali wanampandikizia maneno na yeye anajaa kwenye mtego wao.
Ndugu kama ulikuwa kwenye mawazo yangu,Hata mimi pia nilimshangaa sana Golugwa kumsifia huyo jamaa wakati siku chache nyuma alitaka kumalizana na msaidizi wa Mwenyekiti wake akaponea chupuchupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.