Hapa IGP huwezi kusikia akiita press kuwashutumu na kuwaita magaidi watu wake! Huu sasa ndo ugaidi kutisha watu wajione hawako salama wanaweza kuchukuliwa mpaka majumbani mwao!🚮
Habari zenu, nashukuru kwa mada hii nzuri. Napenda kufahamu kama kuna mtu anamiliki gari aina ya Volkswagen polo... Kama yupo napenda kufahamu anatumia engine oil gani..
Pia nahitaji kufahamu mahali naweza kupata lock ya mlango na lifter ya kioo cha mlango wa kulia nyuma (rear right hand...
I cannot argue with you, Allah has placed a veil on your eyes and sealed your hearing... none can take it off you except him...better continue wondering in your contumacy, we shall meet on the day which there is no doubt! in sha Allah
[inafundisha watu kujitenga]
Sema kujitenga na uovu! Pia lengo la hijab (Stara) ni ili mwanamke atambulike kuwa mcha Mungu, hivyo alhadulillah kama lengo limefikiwa. Kuondoa hizo hisia zako mkuu basi wote wavae hijabu ili usitambue yupi ni yupi... wasiwasi wangu ni pale mtakapoona na majina...
People rather understand poor science than Allah's words with clear evidence! Mr Science can you explain to us, things came from big bang? who created that bang? and why that bang did stop happening to create more creatures?
I'm ashamed of you @ Food Engineer! Au ndo ulikuwa unajifunza kupost Jf? Hebu nimpigie Chove wafanye mchujo upya hapo Food maana naona hujaqualify kuwa hapo kama unashindwa kueleweka kwa mambo madogo kama haya!
Bora waanze msako wa mtaa kwa mtaa! I guess God has decided to take back his creatures in that fashion, he is the all knower the wise... I'm praying for them though
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.