Petroli bei juu, umeme hali kadhalika,kodi za nyumba balaa,mchele na nyama ndo usiseme, makanisani sadaka juu wanataka noti sio sarafu.Mahari/posa nazo hatari, school fees utadhani unanunua shule, nauli ya mabasi nayo balaa.Je hii ndiyo HAPPY NEW YEAR 2013 tunayotakiana au ni HEAVY NEW...
Katika msiba huu kuna tetesi kuwa mtu huyu hakuwa raia wa tanzania.Utata na uzushi huo ulianza mara tu baada ya kifo chake.Baada ya utata huo ulianza mara iliposemekana kuwa atazikwa Nairobi kwani ndiko wazazi wake wanapoishi.Ghafla tena mchana huu ikatoka taarifa kuwa anazikwa mchana huu...
Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.Nina wasiwasi na brain capacity yako.Kikwete anapokuwa anazindua barabara sehemu mbalimbali nchini yeye ni Mhandisi?Huu ni uzuzu wa ajabu.Haihitaji kuwa mhandisi ujue kalvati au mtaro umejengwa chini ya kiwango.Ni akili ya kawaida tu inatosha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.