johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,757
Mtu aliyekula nyama ya mtu hawezi kuacha ataendelea tu by mwalimu Nyerere ( Mwenyeheri).
Mfano mdogo ni yule Waitara alihama CCM kwa kisingizio cha kumkimbia Nchimbi na sasa kahama CCM kwa kisingizio cha kumkimbia Mbowe.
What next!! Niishie hapo.
Mfano mdogo ni yule Waitara alihama CCM kwa kisingizio cha kumkimbia Nchimbi na sasa kahama CCM kwa kisingizio cha kumkimbia Mbowe.
What next!! Niishie hapo.