Recent content by Ktutu

  1. K

    Mchungaji Emmanuel Rajabu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato atupa jiwe gizani

    Ujumbe mbona uko wazi? Kwa wanaofuatilia matukio(current issues) ujumbe hauna fumbo.
  2. K

    Serikali yakanusha tuhuma za mpango wa kumwekea Sumu Tundu Lissu

    Kwa nini serikali aikukanusha Lisu kuwekwa katika zero la wafungwa waliokumiwa kunyongwa hadi kufa katika gereza la Ukonga? Serikali itueleze sababu za kumuweka katika zero hiyo ili hali hajahukumiwa. Vinginevyo tetesi au tu human zilizotolewa zinaweza kuwa na ukweli 99.999%
  3. K

    Tetesi: Lissu kuachiwa kesho

    Kipi cha kushangaza? Dalili ya mvua ni Mawingu.
  4. K

    Dark days 17/03/20

    Yoga PK yu wapi?😭
  5. K

    VIDEO: Ona Sam Sasali alivyopàmbana na Kafulila TVs zikiwa Live " Hizo namba za ukuaji wa uchumi zinafaida gani kwa mwananchi wa kawaida?"

    Kilimo hakipimwi kukua kwake kwa kupanua mashamba, kinapimwa kuongezeka kwa uzalishaji (productivity) na uletaji tika kwa jamii. Atoe takwimu za matokeo(impact) ya kukua kwa kilimo jinsi ambavyo kimeongeza pato la watanzania kwa soko la ndani na nje . Hii itahakisi uhalisia wa kuongezeka kwa GDP.
  6. K

    Kama ndivyo, kuna shida. Kubwa!

    Iwapo ni sahihi alyoyasema Msomi Kibatala waliosimamia utekelezaji wa barua hiyo wanatakuwa wajiuzulu kutoka kwenye nyadhifa zao. Vinginevyo mamlaka za uteuzi ziwafukuze kazi.
  7. K

    VIDEO: Ona mtangazaji wa ITV alivyombana Kafulila Studio Live 'unafanya siasa na maisha ya watu?'

    Ukweli ni kuwa K ni tapeli ea kisiasa. Ni opportunist
  8. K

    Dkt. Godwin Mollel: Wana CCM wenzetu wameanza kuugua kifafa, ukivaa kola madhabauni na ukafanya ushetani tunakufuata huko huko

    Ukitupa jiwe kwenye giza(gizani) ukisikia kelele jua limepata/ limemgonga.
  9. K

    PreGE2025 Spika Tulia na Bunge lako nani kawaagiza kumpa Tuzo Rais Samia? Mmetoa kwa niaba ya nani kama wananchi hatujawahi kuridhia?

    Tunzo hiyo ilianuishwa lini? Kwa mujibu wa kanuni ipi ya Bunge? Sifa za anayetunukiwa tuzo hiyo ni zipi? Ni nani ambayeamshatunukiwa tuzo hiyo? Tulia unazingua Watanzania
  10. K

    PreGE2025 Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu

    Ni kweli hiyo na sahihi? Tusipitishe watu wanosema ukwelu? Tupitushe tu machawa? Chama kitakufa muda si mrfefu na wananchi watakisusa na serikalu yake. Wananchi sasa wanefunguka macho. Tukilinde chama kwa kutenda haki jwa wananchi na sio kuwafanya wanaosema ukweli kuwa wahanga wa siasa, bila...
  11. K

    Dark days 17/03/20

    Jiwe linadondoka Mwamba unapasuka. . Madhara makubwa ni yapi
  12. K

    Nini tofauti kati ya rais Samia na Dkt. John Pombe Magufuli?

    Huyu ni mananke yule ni mwanaume.
  13. K

    Je, ni kweli kwamba bahati huja mara mbili?

    Umenena vyema. Mwenye akili umshukuru Mungu kwa yote. Mpumbavu au maamuma umkufuru Mungu na kubweteka akidai hiyo ni stahiki yake.
  14. K

    Pendo Paul aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mpina, afikishwa mahakamani

    Musa Godfrey Mbuga(MUSAMBUGA) ni nani? Amehojiwa. 👨‍🦯‍➡️
Back
Top Bottom