Pole mkuu tumia kuchemsha vitunguu maji vikubwa vi 4 katakata chemsha kwenye maj ya kita 1 na ½ kwa dakka 10 alafu epua ikipoa chuja tia kwa chombo safi alafu tumia kikombe cha chai weka nusu kijiko cha chapa simba [bicarbonate of soda] koroga tia na asal vjko 2 ukipenda tumia kutwa...
Hiyo ipo hasa kwa watu wenye umri mkubwa ni mambo ya dawa za asili mara nyingi anachukuliwa mgonjwa husika anawekwa ndani alafu sehem ya paa inatobolewa kidogo anapigwa na ule mwaga wa jua akiwa ndani hapo ndio anakata roho vingnevyo ataoza na harufu juu
Hilo la kuanguka chooni au kupooza mara nyingi ni process tu za kuoga unapaswa maji ya kwanza uanzie miguuni na siyo kichwani kama wengi wanavyofanya na hii inatokana na sababu za kimwili zaidi
1.
Tumia asali ya nyuki wadogo kumpakaa kutwa mara 2 hii ilimponya mwanangu.
2. kuna sabuni inaitwa potassium permanganate
Unakuwa unamwogesha nayo kwenye pharmacy nyingi inapatikana hii
Kila la kher mkuu
Magu aliwah kusema alibip urais akasukumizwa lkn akawa rais hivyo jitose tu mkuu mambo ni mbele kwa mbele huenda kupitia huko ukapata tena inshu kubwa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.