Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

Ebu imagine lile daraja likamilike, magari yaanze kumwagika yakitoka huku na kule, unadhani foleni ya Usagara hadi mjini itakuwaje ?

Daah!! Aisee umenishitua!! Itakuwa balaaa!! Na hao TANROAD inatakiwa waanze kujipanga lakini pia Mkoa wajipange ili ili iwe at least njia nne yaani mbili kuingia na mbili kutoka City Center.
 
watajali vipi mwanza wakati kura za hapo hazina shida
kila kitu kinafanyika kama fadhila ya kura
wewe itazame kahama, barabara ni za hovyo sana, utadhani wilaya haina dhahabu
wakisikia kiongozi anakuja wanaziba mashimo kwa udongo
 
Habari Wana jamvi?

Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani.

Ukiangalia barabara ya kutoka Usagara hadi mjini ni ndogo Kama njia moja tu. Barabara Ile husababisha foleni sana, barabara Ile inafaa njia nne. Pia barabara ya kutoka mjini kwenda Igoma/Kisesa nayo inafaa njia nne lkn ni njia mbili kama moja tu kutaja kwa uchache barabara za Mwanza.

Swali; ni kwa nini serikali na viongozi wa jiji hawaoni umhimu wa barabara hizo au barabara zilizopo Mwanza. Jiji la DSM, Arusha na Dodoma kuna barabara nyingi nzuri. Lakini siyo Mwanza. Kwa nini siyo Mwanza?

Cha ajabu, Bukoba ambayo ni Manispaa imepewa mradi wa barabara njia nne. Watu na magari yaliyopo Bukoba ni kidogo sana lkn wanapewa barabara hizo, Mwanza wananyimwa. Unadhani hilo ni sawa? Nina wasiwasi Kuna kitu hakiko sawa Mwanza kwenye miundombinu. Kwa nini Mwanza haizingatiwi, shida ni nini? Shida ni Serikali kuu? Shida ni madiwani na wabunge au shida iko wapi?
kwa taarifa yako kuna by pass road inayoanzia hapo usagara kwenda igoma bila kupitia mjini.hiyo barabara ya usagara kuipanua kwa sasa haiwezekani kwani fidia yake ni kubwa mno.miundo mbinu inajengwa,masoki yanajengwa,eapoti inajengwa upya,hospitali zimejengwa,mashule yamejengwa.sgr unaiona inaendelea,barabara kutoka mwanza kwenda sengerema kupitia kamanga,usanifu unaendelea,daraja la busisi unaliona,mambo yanaenda
 
Mwanza siyo barabara tu hata maji ni shida kubwa tena kwa mda mrefu lkn hakuna anaejali wala nini
 
Habari Wana jamvi?

Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani.

Ukiangalia barabara ya kutoka Usagara hadi mjini ni ndogo Kama njia moja tu. Barabara Ile husababisha foleni sana, barabara Ile inafaa njia nne. Pia barabara ya kutoka mjini kwenda Igoma/Kisesa nayo inafaa njia nne lkn ni njia mbili kama moja tu kutaja kwa uchache barabara za Mwanza.

Swali; ni kwa nini serikali na viongozi wa jiji hawaoni umhimu wa barabara hizo au barabara zilizopo Mwanza. Jiji la DSM, Arusha na Dodoma kuna barabara nyingi nzuri. Lakini siyo Mwanza. Kwa nini siyo Mwanza?

Cha ajabu, Bukoba ambayo ni Manispaa imepewa mradi wa barabara njia nne. Watu na magari yaliyopo Bukoba ni kidogo sana lkn wanapewa barabara hizo, Mwanza wananyimwa. Unadhani hilo ni sawa? Nina wasiwasi Kuna kitu hakiko sawa Mwanza kwenye miundombinu. Kwa nini Mwanza haizingatiwi, shida ni nini? Shida ni Serikali kuu? Shida ni madiwani na wabunge au shida iko wapi?
Kwani yule shujaa wenu Chuma hakuna Hilo? Ndio maana Huwa tunasema akili kichwani.

Kumwaga Bil.720 kwenye Daraja 1 wakati zingetosha kujenga zaidi ya km 500 za lami Jiji Zima ,kipi Bora?
 
Achilia hizo main roads...Kuna feeder roads ni kichekesho...mfano Kuna barabara ambayo ni emergence hapo igoma...Cha ajabu wamejenga ukuta na kuzuia maji yanayotokea njia na kuyabadilishia uelekeo....hatimae yameifanya ile njia kuwa mto due ss iv Ina makorongo Kila sehem ma haipitiki hata kwa pikpik.. nahsi Kuna changamoto wilaya ya nyamagana...
 
Kwa sasa anayeweza kuiendeleza Mwanza na kanda ya ziwa ni Mama Samiah,maeneo haya wakati mwingine huendelezwa na wasio wakazi wa huku. wana uchungu zaidi ya viongozi wa huku.
 
Habari Wana jamvi?

Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani.

Ukiangalia barabara ya kutoka Usagara hadi mjini ni ndogo Kama njia moja tu. Barabara Ile husababisha foleni sana, barabara Ile inafaa njia nne. Pia barabara ya kutoka mjini kwenda Igoma/Kisesa nayo inafaa njia nne lkn ni njia mbili kama moja tu kutaja kwa uchache barabara za Mwanza.

Swali; ni kwa nini serikali na viongozi wa jiji hawaoni umhimu wa barabara hizo au barabara zilizopo Mwanza. Jiji la DSM, Arusha na Dodoma kuna barabara nyingi nzuri. Lakini siyo Mwanza. Kwa nini siyo Mwanza?

Cha ajabu, Bukoba ambayo ni Manispaa imepewa mradi wa barabara njia nne. Watu na magari yaliyopo Bukoba ni kidogo sana lkn wanapewa barabara hizo, Mwanza wananyimwa. Unadhani hilo ni sawa? Nina wasiwasi Kuna kitu hakiko sawa Mwanza kwenye miundombinu. Kwa nini Mwanza haizingatiwi, shida ni nini? Shida ni Serikali kuu? Shida ni madiwani na wabunge au shida iko wapi?
MWanaza jiji la kishamba sana
 
Habari Wana jamvi?

Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani.

Ukiangalia barabara ya kutoka Usagara hadi mjini ni ndogo Kama njia moja tu. Barabara Ile husababisha foleni sana, barabara Ile inafaa njia nne. Pia barabara ya kutoka mjini kwenda Igoma/Kisesa nayo inafaa njia nne lkn ni njia mbili kama moja tu kutaja kwa uchache barabara za Mwanza.

Swali; ni kwa nini serikali na viongozi wa jiji hawaoni umhimu wa barabara hizo au barabara zilizopo Mwanza. Jiji la DSM, Arusha na Dodoma kuna barabara nyingi nzuri. Lakini siyo Mwanza. Kwa nini siyo Mwanza?

Cha ajabu, Bukoba ambayo ni Manispaa imepewa mradi wa barabara njia nne. Watu na magari yaliyopo Bukoba ni kidogo sana lkn wanapewa barabara hizo, Mwanza wananyimwa. Unadhani hilo ni sawa? Nina wasiwasi Kuna kitu hakiko sawa Mwanza kwenye miundombinu. Kwa nini Mwanza haizingatiwi, shida ni nini? Shida ni Serikali kuu? Shida ni madiwani na wabunge au shida iko wapi?
Shida IPO kote kote hao uliowaja wanawaza uchaguzi Wala hawana mpango na kitu kingine mfikishie Salam zake yule mlinzi wa zamani wa hoteli ya mhindi Kule luchelele ajipange kuirudia kazi yake nyamagana hatutaki wajinga kama yeye mtakie mabula stansilaus shing'oma safari njema.
 
Tatizo wanaona awamu ya 5 ilipendelea sana huko.... Hakuna jipya litakalofanyika tena hadi labda awamu ingine... Kinachofanyika ni kumalizia miradi iliyoachwa basi...na mengine imetelekeywa mfano uwanja wa ndege pasiasi..
ilifanya mradi gan au unaongelea daraja
 
Habari Wana jamvi?

Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani.

Ukiangalia barabara ya kutoka Usagara hadi mjini ni ndogo Kama njia moja tu. Barabara Ile husababisha foleni sana, barabara Ile inafaa njia nne. Pia barabara ya kutoka mjini kwenda Igoma/Kisesa nayo inafaa njia nne lkn ni njia mbili kama moja tu kutaja kwa uchache barabara za Mwanza.

Swali; ni kwa nini serikali na viongozi wa jiji hawaoni umhimu wa barabara hizo au barabara zilizopo Mwanza. Jiji la DSM, Arusha na Dodoma kuna barabara nyingi nzuri. Lakini siyo Mwanza. Kwa nini siyo Mwanza?

Cha ajabu, Bukoba ambayo ni Manispaa imepewa mradi wa barabara njia nne. Watu na magari yaliyopo Bukoba ni kidogo sana lkn wanapewa barabara hizo, Mwanza wananyimwa. Unadhani hilo ni sawa? Nina wasiwasi Kuna kitu hakiko sawa Mwanza kwenye miundombinu. Kwa nini Mwanza haizingatiwi, shida ni nini? Shida ni Serikali kuu? Shida ni madiwani na wabunge au shida iko wapi?
Shangilieni daraja na Sgr si ndio mlisema Chuma anaupiga mwingi au? 😂😂

Ndio hasara ya kukosa vipaombele vya Wananchi na kutafuta vipaombele vya kupigia picha.
 
Bukoba Kuna Barabara ya

Bukoba wanajenga Barabara ya njia nne sababu kuu ikiwa Kona Kali, mteremko na ajali nyingi katika Barabara kuu ya kuingia Bukoba.
Ile sekenke na kitonga ndo Barabara kuu ya kuingia mjini Bukoba ilivyokuwa, ukikosea kidogo unajikuta kwenye paa LA mtu na zimekuwepo ajali za namna hii karibu Kila mwezi. Bukoba ni mji uliopo kwenye valley au basin.
Serikali umeanza kutengeneza Barabara kuu hiyo ya Uganda kwa kuifumua kabisa na kupasua mlima kuondoa mteremko( sasa imefungwa kabisa) kuwa ya njia nne Hadi bandari ya Bukoba km 5.1. Lengo ni kupunguza hizo ajali.
Sasa magari yote ya kuingia Bukoba yanapitia kashura road...ni kweli Bukoba Kuna foleni


Kuhusu Mwanza Barabara ya kenyata na Igoma road wazipanue kuwa njia nne hata kwa awamu kama wanavyofanya Bukoba
Shujaa wenu Kwa nini hakusipanua? Mshukuru Samia sio wa Bara,angekuwa wa Bara msingeramba hata km 1.

By the way hizo ulizotajia , upanuzi unaanza mwaka huu huu kabla ya disemba na pia Kuna Barabara kibao za Mitaa zinajengwa.

Unaweza Kuta mtoa mada hayuko Mwanza.
 
Ebu imagine lile daraja likamilike, magari yaanze kumwagika yakitoka huku na kule, unadhani foleni ya Usagara hadi mjini itakuwaje ?
Daraja ndio litaongeza magari? Yamwagike kutoka wapi? Mnakuza kitu ambacho Wala hakina umuhimu huo
 
Mwanza haina chake tena mfano Kiwanja cha ndege propoganda zinaendelea hakuna kitu sembuse hizo barabara kisingizio wanajificha kwenye kichaka cha Mwanza ilipendelewa,mbona Dar na Dodoma zilipendelewa zaidi kipindi cha awamu ya 5 kama ndivyo hivyo.
Una uhakika? By the way Mwanza Haina umuhimu wowote kushinda Dar,Dom na Arusha.
 
kwa taarifa yako kuna by pass road inayoanzia hapo usagara kwenda igoma bila kupitia mjini.hiyo barabara ya usagara kuipanua kwa sasa haiwezekani kwani fidia yake ni kubwa mno.miundo mbinu inajengwa,masoki yanajengwa,eapoti inajengwa upya,hospitali zimejengwa,mashule yamejengwa.sgr unaiona inaendelea,barabara kutoka mwanza kwenda sengerema kupitia kamanga,usanifu unaendelea,daraja la busisi unaliona,mambo yanaenda
Acha kubishana na Serikali.Hiyi Barabara ndio kipaombele Cha Serikali Kwa Mwanza Hadi Magufuli bridge na upanuzi utaanza baadae mwaka huu
 
Tatizo wanaona awamu ya 5 ilipendelea sana huko.... Hakuna jipya litakalofanyika tena hadi labda awamu ingine... Kinachofanyika ni kumalizia miradi iliyoachwa basi...na mengine imetelekeywa mfano uwanja wa ndege pasiasi..
Pasiansi kuna uwanja wa ndege?
 
Back
Top Bottom