jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,127
- 1,634
Ebu imagine lile daraja likamilike, magari yaanze kumwagika yakitoka huku na kule, unadhani foleni ya Usagara hadi mjini itakuwaje ?
Daah!! Aisee umenishitua!! Itakuwa balaaa!! Na hao TANROAD inatakiwa waanze kujipanga lakini pia Mkoa wajipange ili ili iwe at least njia nne yaani mbili kuingia na mbili kutoka City Center.