Recent content by kq07

  1. kq07

    Mjadala kati ya wanaoamini uwepo wa jehanamu na wasioamini

    Mathayo 25:34 Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu; Mathayo 25:41 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele...
  2. kq07

    Lawrence Mafuru tunaomba ushahidi wa kununuliwa hisa 51% za UDA

    Hivi msajili wa hazina ni msimamizi wa mali za jiji la Dar ? Badala ya Mafuru kulete ushahidi nafikiri Jiji watoe ushahidi kwamba wanamiliki 51 % za UDA. Asilimia 49% ambazo ni za serikali kuu zipo salama na ndizo zinamilikiwa na msajili wa hazina
  3. kq07

    MSAJILI WA HAZINA: Simon Group inamiliki 51% ya Hisa UDA na Serikali 49%, Jiji halina hisa

    Wa kulaumiwa hapa ni mwenyekiti wa bodi ya UDAaliyeuuza hisa kinyemera bila idhini ya wenye hisa !!
  4. kq07

    IGP Mangu: Lugumi ilitekeleza mkataba wake na Jeshi la Polisi

    Bado tuna safari ndefu sana !! [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
  5. kq07

    KUB, Mbowe auchambua utawala wa CCM chini ya Magufuli: Umejaa uvunjifu wa Katiba, Sheria

    Katiba gani?? Hii anayoivunja si ndiyo hatuitaki .Labda ameanza kutekeleza katiba mpya.
  6. kq07

    Hivi Azam TV hawana channel za kikristo?

    Zipo nyingi tuu
  7. kq07

    Wabunge wetu wa UKAWA wakitoka nje bungeni huenda wapi?

    Kulala baada ya kazi
Back
Top Bottom