Mathayo 25:34 Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu;
Mathayo 25:41 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele...
Hivi msajili wa hazina ni msimamizi wa mali za jiji la Dar ?
Badala ya Mafuru kulete ushahidi nafikiri Jiji watoe ushahidi kwamba wanamiliki 51 % za UDA. Asilimia 49% ambazo ni za serikali kuu zipo salama na ndizo zinamilikiwa na msajili wa hazina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.