Recent content by kpsunday

  1. K

    Used pioneer radio

    Inatumia 110v..ni single cd,watts 200 ya mjapan cyo china fake
  2. K

    Used pioneer radio

    Imepigwa kivipi Mkuu,hii ni mali yangu hAta ukiitaji risiti niliyonunulia nakupatia
  3. K

    Used pioneer radio

    Radio IPO vizuri haina tatizo lolote,ila adapter yake yakubadili umeme wa 220v kwenda 110v imepotea,bei ni 300,000.kwa maelezo zaidi nichek whatsapp.0717297680
  4. K

    Hata waumini wakimkimbia MZEE WA UPAKO keshawapiga sana hela

    Hahaha hapa ndio matamu...bapa aliongopi
  5. K

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    zinginary, Mkuu nina tatizo kama lako naona kama device itanihusu kwasasa, wewe uliipata wapi
  6. K

    Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

    Ekenywa kumuona Dokta in 20 vipimo ni laki.
  7. K

    Natafuta Flat-screen ya bei rahisi

    Laki tano na nusu unayo nikupe Samsung
  8. K

    Funga AC Chigo kwa bei poa (kiyoyozi) usafiri bure kukufungia bure

    Automatic voltage switch inasaidia Ku control voltage inayopaswa kutumika kwenye Chombo husika..mfano kama chombo kinatumia 240v basi una set avs yako iwe 240 isipande wala kushuka
  9. K

    Kama haya ni ya kweli kuhusu NWO, basi hakuna aliye salama!

    Mkuu yaonekana uko deep sana,nimeanza kuelewa kwenye hili
  10. K

    Urusi yajiandaa na Vita ya Tatu ya Dunia (WW3)

    Vita imekuwa football?
  11. K

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Mkuu vitabu vya dini haviongopi,we we jiulize kwann wanawake wengi wanapenda kubana makalio yaonekane?wanamtamanisha nani?màana nzima inaanzia hapa yaonekana kipo kitu kinachotembea nyuma pasipo wao kujua..source ni wao tunaelekea sodoma na gomola
Back
Top Bottom