Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

Kuna kipindi nakiri kuwa madokta wetu wanafanya kazi kwa kubunia kwa asilimia 80, hii inawezekana ni kwa kukosa vipimo vya kueleweka, mimi sidhani kuwa nchi hii haina wataalamu walio bobea katika maswala ya mfumo wa masikio pia kuna hospital zenye mitambo ya kisasa ya upimaji, kuna hosptal arusha NSK ipo ungalimited, ina vipimo vya kitabibu vya hali ya juu sana japokuwa nasikia gharama zake ni za juu.

View attachment 426981
Okay thanks sana kaka, ngoja nijikusanye siku nikajaribu na huko.
 
Wahi hospital haraka sana, uchunguzi ufanyike kuingiza vifaa maaluma ndani ya sikio na kusafishwa. Usipende kuingiza kila dawa kwenye sikio pasipo kufuata ushauri wa DAKTARI.
 
Matatizo ya sikio yanaitaji umakini wadau. Sio kila dawa lazima uingize utasababisha ukiziwi kwa mtoto. Nashaur tafunda wataalam waliobobea kwenye fani ya magonjwa ya sukio kwenye hospital kubwa atapona mtoto wetu. Pole sana mungu atakusaidia
 
Unachosema ni kweli mkuu hapa bongo wanazingua sana,hearing aid itamuhusu dogo!!
Hakika mkuu sometimes huwa natilia shaka na hawa Madokta. Either wavivu kutumia utalaamu wao au vilaza kuna magonjwa km typhod at the end the day nilikuja kupona kwa kunywa mixer ya
Aloe vela, Majan ya mpera, Majan ya mparachichi na majani ya songwa

But awali unapewa doz,tumbo linatulia kwa muda baada ya miez tena ila baada ya tiba hiyo amazing typhod kwisha. Sasa tatizo la masikio ni msala kwote kwote hakuna tiba saizi navaa hilo dude utazan mlinz wa rais,hapo hapo macho walisema miwanii niliwaachia.
 
Mkuu mpeleke akaonane na Dakitar bingwa wa maskio (ENT) kwa uchunguzi zaid! Achana na mambo ya kujaribu dawa bila kujua chanzo cha tatizo
 
Safari Safi, ukishindwa huko Hospitali kumtibia mwanao anaye sikia kwa mbali nitafute mimi nimpe dawa zangu atumie kwa siku 30 atasikia vizuri sana. Ukihitaji dawa zangu ili nimtibie mwanao apone,
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Mkuu.@Safari Safi ukishindwa huko Hospitali kumtibia mwanao anaye sikia kwa mbali nitafute mimi nimpe dawa zangu atumie kwa siku 30 atasikia vizuri sana. Ukihitaji dawa zangu ili nimtibie mwanao apone,
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Mkuu, mzizi mkavu! uko wapi mbona namba ya simu tu imenitisha?
 
MziziMkavu,
Mkuu hilo tatizo mie ninalo japo masikio yangu hayatoi usaha wala uchafu, nimejalibu Hospital zote, Mwananyamala, Msasani, Muhimbili lakini bado shida tu.

Mpaka nimekata tamaa
 
NDUGU WANA JAMII FORUM HUSIKA NA MADA HAPO JUU MKE WANGU ANA TATIZO LA MASIKIO KUTOSIKIA VIZURI MWANZO ALIKUWA ANASKIA VIZURI LAKINI NDANI YA MIEZI MINNE BAADA YA KUJIFUNGUA LIMETOJITOKEZA TATIZO HILI HASIKII VIZURI HADI UONGEE KWA KUTUMIA NGUVU. TAFADHALI NAOMBENI MSAADA WENU KAMA UTAKUWA UMEGUSWA NA HILI.
Chukuwa kijiko 1 kidogo cha unga wa mdalasini korogea ndani ya kikombe 1 cha maji ya moto kisha awe anakunywa kila siku asubuhi kabla ya kula kitu na mchana na usiku atumie hiyo dawa kwa muda wamiezi 3 atasikia vizuri.

chai ya mdalasini.jpg
 
Unajua sababu ya tatizo hilo,? Linatoa uchafu wa aina yo yote? Nta imejaa au huwa anatoa? Kutoa nta yote sikioni pia kuna madhara. Ile nta ina kazi yake. Nibgekushauri utoe maelezo timilifu au uone wataalamu hospital
 
Unajua sababu ya tatizo hilo,? Linatoa uchafu wa aina yo yote? Nta imejaa au huwa anatoa? Kutoa nta yote sikioni pia kuna madhara. Ile nta ina kazi yake. Nibgekushauri utoe maelezo timilifu au uone wataalamu hospital
sijajua chanzo cha hili tatizo na wala hatoi uchafu wowote
 
Masikio kuwa na uchafu sidhani kama yanaweza kumfanya mtu asisikie vizuri kwa sababu asilimia kubwa ya watu hawajawahi kusafisha masikio tangu wakiwa wadogo ila wanasikia vizuri tu. Huenda ana msongo wa mawazo unaomfanya apoteze concetration.
 
Ndugu wana jamii forum husika na mada hapo juu mke wangu ana tatizo la masikio kutosikia vizuri mwanzo alikuwa anasikia vizuri lakini ndani ya miezi minne baada ya kujifungua limetojitokeza tatizo hili hasikii vizuri hadi uongee kwa kutumia nguvu. tafadhali naombeni msaada wenu kama utakuwa umeguswa na hili.
Pole sana tunaweza wasiliana kwa Msaada wa matibabu. Nifuate PM
 
Back
Top Bottom