Recent content by Korto

  1. Korto

    Kwa wanao jua Nairobi

    Asante sana , tuna weza waliana kwa sim
  2. Korto

    Kwa wanao jua Nairobi

    Thank you very much
  3. Korto

    Kwa wanao jua Nairobi

    Asante sana
  4. Korto

    Kwa wanao jua Nairobi

    Ni sehemu gani Narobi naweza pata spea part za Nissan.
  5. Korto

    ARUSHA: Meya, wamiliki wa shule, paroko na Waandishi, wakamatwa na Polisi Shuleni, wanyimwa dhamana

    wanazidi kujenga chuki na wananchi , kwani wangenyamaza waache wakatoe rambirambi zao wangepugukiwa nini
  6. Korto

    Vibanda vya Machinga Complex vyabomolewa, Machinga wahaha

    Na kodi wamepandishiwa na TRA toka 300,000 kuwa 800,000
  7. Korto

    Vibanda vya Machinga Complex vyabomolewa, Machinga wahaha

    Na kodi wamepandishiwa na TRA toka 300,000 kuwa 800,000
  8. Korto

    Nataka kuoa jini

    Ngoja waje wahusika
  9. Korto

    Askofu Ruaichi: Waumini Waombeeni Viongozi Watambue Kuna Njaa

    Leo kuna semina ya kiroho imeanza mjini Arusha , Mwalimu wa semina hiyo amesisitiza juu ya kuliombea taifa juu ya janga la ukame na Njaa linalo likabili taifa letu, na kwa kuonyesha msisitizo kuna maombi maalum yamenyika, Kama viongozi wa kiroho wameliona na wewe unapinga sijui utakuwa unaishi...
  10. Korto

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA na kuivunja Bodi

    Pesa za makusanyo zitoke wapi wakati biashara hakuna, kila mahali watu wanalia njaa
  11. Korto

    TANESCO yapeleka maombi EWURA ili kupandisha bei ya umeme kwa 18.19% kuanzia Januari, 2017

    Tunamshkru Mungu kwa kutupa Gesi Tanzania, matokeo yake imekuwa kinyume badala ya kutumia gesi kutusaidia watanzania inatumika kutunyonya zaid, ukiangalia hata Gesi tunazo tumia majumbani zimekuwa zikipanda bei kila kukicha badala ya kushuka, Hii hazina ya gesi tuliyo pewa na Mungu inatusaidia...
  12. Korto

    Rais Magufuli ifumue TANAPA imeoza sana

    Hata wazili wa maliasili na utalii ni Jipu Inasikitisha sana kuona jinsi ambavyo sekta ya utalii inavyo chezewa na badhii ya wafanya biashara watanzania wenye asili ya Asia. Mwalimu Julialsi Nyerere Alisha wahi kusema UBEPALI NI UNYAMA na RUSHWA NI ADUI WA HAKI, hawa wafanya bishara wenye aslia...
Back
Top Bottom