Leo kuna semina ya kiroho imeanza mjini Arusha , Mwalimu wa semina hiyo amesisitiza juu ya kuliombea taifa juu ya janga la ukame na Njaa linalo likabili taifa letu, na kwa kuonyesha msisitizo kuna maombi maalum yamenyika, Kama viongozi wa kiroho wameliona na wewe unapinga sijui utakuwa unaishi...
Tunamshkru Mungu kwa kutupa Gesi Tanzania, matokeo yake imekuwa kinyume badala ya kutumia gesi kutusaidia watanzania inatumika kutunyonya zaid, ukiangalia hata Gesi tunazo tumia majumbani zimekuwa zikipanda bei kila kukicha badala ya kushuka, Hii hazina ya gesi tuliyo pewa na Mungu inatusaidia...
Hata wazili wa maliasili na utalii ni Jipu
Inasikitisha sana kuona jinsi ambavyo sekta ya utalii inavyo chezewa na badhii ya wafanya biashara watanzania wenye asili ya Asia. Mwalimu Julialsi Nyerere Alisha wahi kusema UBEPALI NI UNYAMA na RUSHWA NI ADUI WA HAKI, hawa wafanya bishara wenye aslia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.