Rais Magufuli ifumue TANAPA imeoza sana

Rais Magufuli ifumue TANAPA imeoza sana

Mpangawangu

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
887
Reaction score
965
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Pombe Joseph Magufuli amemteua George Waitara mkuu wa majeshi mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA.

pamoja na kwamba historia ya kamanda waitara yeye hapendagi mambo ya kihovyohovyo,

Lakini kwa maoni yangu ninaona haja ya kufanya mabadiliko makubwa katika shirika hili linalotunza hifadhi zetu hapa nchini.

Yanahitajika mabadiliko ya kimfumo, mabadiliko ya kiutendaji na hata mabadiliko ya kimuundo.

Management ya TANAPA kwa hakika haiendani na Speed na Moto wa Rais wa nchi hii.

Wanafanya kazi kwa mazoea, hawatumii tena weledi na wala hawajifanyii home works kuhakikisha wanawafanya watanzania wanufaike na uwepo wa hifadhi zao.

Ni kama wanabebwa tu na uwepo wa Mlima Kilimanjaro ambao kwa kiasi kikubwa unajitangaza wenyewe na Hifadhi ya Serengeti ambayo Ina umaarufu mkubwa Africa na Dunia. The rest hakuna wanachokifanya.

Wafanyakazi wa TANAPA hawaheshimu ofisi zao, wamezigeuza kama kijiwe cha kupigia Soga tu. Zipo taarifa za Wafanyakazi wanaoingia ofisini saa tano asubuhi na kusingizia walikuwa kazi za nje.

85% ya saa za ofisi wanazitumia kwenye Seminar na Safari zisizokuwa na tija ili wajilipe posho.

Utajiri wa Wafanyakazi wa TANAPA hauendani hata chembe na kipato Chao halali na kwenye hili mheshimiwa Rais uliangalie vema.

Tangu kuteuliwa Balozi Kijazi kuwa katibu mkuu kiongozi ambaye ana vinasaba vya moja kwa moja (ndugu wa damu ) na Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan Kijazi , hofu ya kuchunguzwa kwa madudu wanayofanya imeyeyuka wakiamini 'ndugu yao' atawalinda.

Hayo ni kwa uchache tu. Nikitulia nitaweka hadharani Documents zinazoonyesha Ufisadi wao.

Mheshimiwa Rais. Hebu chungulia hili Shirika kwa jicho la Tatu.
 
Nilienda mbuga ya Saadani mwaka jana.... Loh, inasikitika sana. Nawakaribisha nanyi nendeni huko mkayaone wenyewe. Ni aibu kubwa. National park haina hata basi la kutembeza wageni!! kisha kila siku wanapiga kelele utalii wa ndani..
 
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Pombe Joseph Magufuli amemteua George Waitara mkuu wa majeshi mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA.

pamoja na kwamba historia ya kamanda waitara yeye hapendagi mambo ya kihovyohovyo,

Lakini kwa maoni yangu ninaona haja ya kufanya mabadiliko makubwa katika shirika hili linalotunza hifadhi zetu hapa nchini.

Yanahitajika mabadiliko ya kimfumo, mabadiliko ya kiutendaji na hata mabadiliko ya kimuundo.

Management ya TANAPA kwa hakika haiendani na Speed na Moto wa Rais wa nchi hii.

Wanafanya kazi kwa mazoea, hawatumii tena weledi na wala hawajifanyii home works kuhakikisha wanawafanya watanzania wanufaike na uwepo wa hifadhi zao.

Ni kama wanabebwa tu na uwepo wa Mlima Kilimanjaro ambao kwa kiasi kikubwa unajitangaza wenyewe na Hifadhi ya Serengeti ambayo Ina umaarufu mkubwa Africa na Dunia. The rest hakuna wanachokifanya.

Wafanyakazi wa TANAPA hawaheshimu ofisi zao, wamezigeuza kama kijiwe cha kupigia Soga tu. Zipo taarifa za Wafanyakazi wanaoingia ofisini saa tano asubuhi na kusingizia walikuwa kazi za nje.

85% ya saa za ofisi wanazitumia kwenye Seminar na Safari zisizokuwa na tija ili wajilipe posho.

Utajiri wa Wafanyakazi wa TANAPA hauendani hata chembe na kipato Chao halali na kwenye hili mheshimiwa Rais uliangalie vema.

Tangu kuteuliwa Balozi Kijazi kuwa katibu mkuu kiongozi ambaye ana vinasaba vya moja kwa moja (ndugu wa damu ) na Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan Kijazi , hofu ya kuchunguzwa kwa madudu wanayofanya imeyeyuka wakiamini 'ndugu yao' atawalinda.

Hayo ni kwa uchache tu. Nikitulia nitaweka hadharani Documents zinazoonyesha Ufisadi wao.

Mheshimiwa Rais. Hebu chungulia hili Shirika kwa jicho la Tatu.
Mheshimiwa Raisi jukumu lake kwa TANAPA ni kuteua mtendaji mkuu na Mwenyekiti wa Bodi. Mambo mengine yako ndani ya uwezo wa bodi na mtendaji mjuu wa shirika.
 
Hivi kweli kabisa ntu kama Seleli unategemea ataleta maendeleo ya kweli ndani ya TANAPA? Achana na huyo Waitara ambaye hana fani yoyote ya Utalii wala mbuga za wanyama, bodi members wengi wao wameteuliwa kisiasa ili wapate kijiwe cha kula
 
Sio Tanapa tu hata wizara ya maliasili na utalii haitekelezi wajibu wake ipasavyo.
 
Watanzania acheni kuwa watu wa kubuni Vitu toka hewani. Na hasa watu wa UKAWA Mmekuwa wazushi na wapotoshaji sana. Huyu mleta mada ni kati ya watu wanao banwa na mfumo usio toa fursa kwa wawekezaji wanaotaka favor ktk Utalii.

TANAPA ni kati ya taasisi bora kabisa africa zilizotunza na Zinaendelea kutunza maliasili na u hifadhi wa wanyama pori duniani.

Kama hajui kitu uliza uelezewe. Usianze kuzusha kwa kuwa eti wewe ni UKAWA unapinga kila kitu.
 
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Pombe Joseph Magufuli amemteua George Waitara mkuu wa majeshi mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA.

pamoja na kwamba historia ya kamanda waitara yeye hapendagi mambo ya kihovyohovyo,

Lakini kwa maoni yangu ninaona haja ya kufanya mabadiliko makubwa katika shirika hili linalotunza hifadhi zetu hapa nchini.

Yanahitajika mabadiliko ya kimfumo, mabadiliko ya kiutendaji na hata mabadiliko ya kimuundo.

Management ya TANAPA kwa hakika haiendani na Speed na Moto wa Rais wa nchi hii.

Wanafanya kazi kwa mazoea, hawatumii tena weledi na wala hawajifanyii home works kuhakikisha wanawafanya watanzania wanufaike na uwepo wa hifadhi zao.

Ni kama wanabebwa tu na uwepo wa Mlima Kilimanjaro ambao kwa kiasi kikubwa unajitangaza wenyewe na Hifadhi ya Serengeti ambayo Ina umaarufu mkubwa Africa na Dunia. The rest hakuna wanachokifanya.

Wafanyakazi wa TANAPA hawaheshimu ofisi zao, wamezigeuza kama kijiwe cha kupigia Soga tu. Zipo taarifa za Wafanyakazi wanaoingia ofisini saa tano asubuhi na kusingizia walikuwa kazi za nje.

85% ya saa za ofisi wanazitumia kwenye Seminar na Safari zisizokuwa na tija ili wajilipe posho.

Utajiri wa Wafanyakazi wa TANAPA hauendani hata chembe na kipato Chao halali na kwenye hili mheshimiwa Rais uliangalie vema.

Tangu kuteuliwa Balozi Kijazi kuwa katibu mkuu kiongozi ambaye ana vinasaba vya moja kwa moja (ndugu wa damu ) na Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan Kijazi , hofu ya kuchunguzwa kwa madudu wanayofanya imeyeyuka wakiamini 'ndugu yao' atawalinda.

Hayo ni kwa uchache tu. Nikitulia nitaweka hadharani Documents zinazoonyesha Ufisadi wao.

Mheshimiwa Rais. Hebu chungulia hili Shirika kwa jicho la Tatu.
Duuh aise noma kama Ni kweli mkuu njoo inbox
 
Usiingize tuhuma za kindugu kwenye utendaji mkuu, hawa akina kijazi walikuwepo kwenye nafasi kubwa hata kabla ya ndugu yao kua katibu mkuu hivyo utendaji wao unajulikana. Lete facts acha kujenga chuki.
 
Hata wazili wa maliasili na utalii ni Jipu
Inasikitisha sana kuona jinsi ambavyo sekta ya utalii inavyo chezewa na badhii ya wafanya biashara watanzania wenye asili ya Asia. Mwalimu Julialsi Nyerere Alisha wahi kusema UBEPALI NI UNYAMA na RUSHWA NI ADUI WA HAKI, hawa wafanya bishara wenye aslia ya Asia wamekuwa wakitumia uwezo wao wakifedha kuwakandamiza wafanyabiashara wadogo wenye asili ya Kitanzania, Mfano ni sakata linalo endelea hivi sasa kati ya Serikali na wanaomiliki magari ya kubebea watalii.
Hivi inaingia akilini kweli mtu anamiliki gari moja , na huwa linakodishwa kwenye kampuni za utalii anambiwa alipe TALA ambayo ni DOLA 2000 Kwa mwaka ?? wakati wenye makapuni makubwa wanalipa hiyo hiyo hata kama wanamiliki magari 300,
Hawa wenye magari binafasi ya kubebea watalii wametengeneza ajira nyingi sana kwa vijana wa kitanzania, mkiwazuia kubeba wageni kwasababu ya kukusa TALA mtawakosesha vijana wengi sana ajira.
Sio kwamba hawawezi kulipa kodi, kinachotakiwa wapangiwe kiwango cha kulipa kulingana na idadi ya magari unayo miliki, kufanya hivyo kutaongeza pato la taifa.
hali iliyopo sasa ni kwamba kama una gari 1 inatakiwa ulilpe TALA US$ 2000, na kama unamagari mengi pia unatakiwa ulipe US$ 2000, hamuoni kwamba serikari inaibiwa???

Inavyo onyesha waziri wa maliasili na Utalii anatumika na wenye makampuni makubwa yanayo milikiwa na watu wenye asili ya Asia ili kuwamaliza wenye makampuni machanga ya wazawa. Ajifunze toka kwa Lukuvi ambae hapendelei , Ilikuondoa mzizi wa ftina TALA iangaliwe upya.
 
Nilienda mbuga ya Saadani mwaka jana.... Loh, inasikitika sana. Nawakaribisha nanyi nendeni huko mkayaone wenyewe. Ni aibu kubwa. National park haina hata basi la kutembeza wageni!! kisha kila siku wanapiga kelele utalii wa ndani..
Mh ! Ndugu hifadhi sio hoteli. Hata Kilimanjari hifashi haimiliki vifaa vya kupandia bali wadau wa utalii. Ningetegemea utoe shutuma za uharibifu wa hifadhi kumbe unaongelea basi la kutembeza Watalii kitu ambacho sio kazi ya msingi ya hifadhi.
 
Mh ! Ndugu hifadhi sio hoteli. Hata Kilimanjari hifashi haimiliki vifaa vya kupandia bali wadau wa utalii. Ningetegemea utoe shutuma za uharibifu wa hifadhi kumbe unaongelea basi la kutembeza Watalii kitu ambacho sio kazi ya msingi ya hifadhi.

Mkuu, jiongeze kidogo. Hivi unapohamasisha utalii wa ndani ukiwa huna kama ki-min bus cha kutembeza watalii huko mbugani hiyo siyo akili matope? Unafikiri unaowahamasisha kutembelea hifadhi, watatembe huko kwa miguu? Nimekushangaa sana!
 
Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari John Pombe Joseph Magufuli amemteua George Waitara mkuu wa majeshi mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA.

pamoja na kwamba historia ya kamanda waitara yeye hapendagi mambo ya kihovyohovyo,

Lakini kwa maoni yangu ninaona haja ya kufanya mabadiliko makubwa katika shirika hili linalotunza hifadhi zetu hapa nchini.

Yanahitajika mabadiliko ya kimfumo, mabadiliko ya kiutendaji na hata mabadiliko ya kimuundo.

Management ya TANAPA kwa hakika haiendani na Speed na Moto wa Rais wa nchi hii.

Wanafanya kazi kwa mazoea, hawatumii tena weledi na wala hawajifanyii home works kuhakikisha wanawafanya watanzania wanufaike na uwepo wa hifadhi zao.

Ni kama wanabebwa tu na uwepo wa Mlima Kilimanjaro ambao kwa kiasi kikubwa unajitangaza wenyewe na Hifadhi ya Serengeti ambayo Ina umaarufu mkubwa Africa na Dunia. The rest hakuna wanachokifanya.

Wafanyakazi wa TANAPA hawaheshimu ofisi zao, wamezigeuza kama kijiwe cha kupigia Soga tu. Zipo taarifa za Wafanyakazi wanaoingia ofisini saa tano asubuhi na kusingizia walikuwa kazi za nje.

85% ya saa za ofisi wanazitumia kwenye Seminar na Safari zisizokuwa na tija ili wajilipe posho.

Utajiri wa Wafanyakazi wa TANAPA hauendani hata chembe na kipato Chao halali na kwenye hili mheshimiwa Rais uliangalie vema.

Tangu kuteuliwa Balozi Kijazi kuwa katibu mkuu kiongozi ambaye ana vinasaba vya moja kwa moja (ndugu wa damu ) na Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan Kijazi , hofu ya kuchunguzwa kwa madudu wanayofanya imeyeyuka wakiamini 'ndugu yao' atawalinda.

Hayo ni kwa uchache tu. Nikitulia nitaweka hadharani Documents zinazoonyesha Ufisadi wao.

Mheshimiwa Rais. Hebu chungulia hili Shirika kwa jicho la Tatu.

ainisha makosa ya kiutendaji uyaweke hapa
 
Back
Top Bottom