Alukuja mshikaj wangu anaomba nimtizamie mambo hayo ya ajira maana yeye hana kifaa cha intanet. (Ana kitoch tu)
Nikazama kwenye tuvuti ya tamisemi na kupakua orodha ya waalimu. Kuna jumla ya kurasa 125 na waliochagiliwa ni 9800.
Tuliangalia jina la kwanza had la mwisho hakuwepo. Nilimhurumia...
Inasemekana nchi inajitosheleza kwa chakula na aziada.
Hii kama ni kweli basi kuna viongozi wana roho MBAYA. Wanashindwaje kuratibu hata hiyo ziada watoto wakala shuleni?
Sijawahi kuamini kua hii nchi imewahi kujitosheleza kwa chakula.
Wakati nipo S/msingi kuna miezi walimu walikua...
Ukiona haufanikiwi kuna sehemu haujapiga hesabu zako sawasawa, Acha anaejielewa afanye yake adhihirishe ukomavu wake ktk siasa.
Ni wabunge wachache wanaweza kugombea majimbo mawili tofaut na wakashinda, yeye ameweza. Na anaweza kugombea jimbo lingine la 3 na akapita.
Kuna wananchi...
Ila tusaidie kwanza ndugu ni vyakula gani inakua rahisi kwako kuvipata. Maana kuna ugali wa muhogo, sembe, dona kwa maharage, dagaa tembele.
Pia kuna wali, ndizi, nyama, samaki, maziwa. Sababu hata mimi huaga hivyo ila najijua kua vyakula ninavyovimudu sio ninavyovipenda.
Zama hizo mkienda vitani mfalme nae anaingia uwanjani.
Sahihi kabisa kwamba unaona mnapigana vita kwa ajili ya maslahi ya wote. Leo hii watu wanapata POSHO za vikao zaid ya milion 100. Wengine hata uwezo wa kupata uji hawana na wakipata ni wa chunvi, sukari wataimudu wapi? Hakuna mtu ataenda...
[QUOTE="Myomb_0, pos
Naomba ushauri kwa wale waliopo Zanzibar au waliowahi kupatembelea.
Naungana nawe nami naomba msaada wa kujua kama kuna guest hause za bei ya kawaida kama 20,000 au 25,000. Maana naambiwa hakuna kitu kama hicho ila ni mahotel tu ya bei ngumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.