Marwa Mbusiro
New Member
- Oct 12, 2018
- 1
- 4
Mtoto anakula usiku saa 2 analala, asubuhi anawahi shule saa 1 anakaa shuleni hapo hadi saa 10 alasiri bila kula, kwa njaa hiyo ya masaa 20, atafundishika?
Inaumiza Mwalimu anafundisha mtoto mwenye njaa anayesinzia darasani huku akijua mtoto huyo hamwelewi badala yake anaugulia njaa.
Inaumiza Mwalimu anafundisha mtoto mwenye njaa anayesinzia darasani huku akijua mtoto huyo hamwelewi badala yake anaugulia njaa.