Recent content by koriangai

  1. koriangai

    CONGO: Msafara wa Kamanda wa Operesheni za kijeshi wilayani Beni washambuliwa na mwanajeshi mmoja auawa papo hapo

    Ifike mahali kama tunashambuliwa na UN wanasema tusijibu mashambulizi kwa kisingizio tunalinda amani sasa ni Amani ya namna gani tunayoilinda nadhani ni wakati muafaka wachague mambo mawili 1.Wakitushambulia ktk ngome zetu nasi tujibu kwa nguvu zetu zote na vifaa vya kitaalamu wapewe 2. Kama...
  2. koriangai

    Tukumbushane Wanasoka wakorofi, watukutu na wababe katika Soka.

    Alikuwa akikutana Roy keane Vs Patrick viera kuna mmoja lazima apate kadi nyekungu au Martin kewon Vs eric Cantona lazima zichapwe na mtu alimwe red card
  3. koriangai

    CUF upande wa Maalimu wamtosa Lipumba, yasema kitashirikiana na UKAWA katika uchaguzi mdogo

    Cuf inajidhalilisha hata kwa wanachama na wakereketwa wake ,natabiri muda utafika haitasikika tena masikioni mwa watu kama kama TLP na UDP
  4. koriangai

    Kamanda Mambosasa: Aliyemjeruhi Meja Jenerali mstaafu, Vicent Kariongo kwa risasi auawa

    Kwa hapa hajamtendea haki mtoa taarifa hata kidogo maana kuna aliyekimbia na pikipiki je wana uhakika gani kama yule aliyekimbia hatamrudia mangi wa watu kibandani kwake?
  5. koriangai

    Maneno mazito aliyoyazungumza ndugu Humphrey Polepole leo

    Huyu kijana kuna wakati anaongea mambo namuelewa japo kwenye mambo ya siasa simo ila leo kuna point na hoja zilizoshiba
  6. koriangai

    Mfungwa wa Maisha Papii Kocha atuma ujumbe kwa Rais Magufuli

    Nimeumia nafsi kiukweli kama haya maneno ni kutoka kinywani mwake mungu ampe wepesi huko aliko na aliyemtoa paulo na sila gerezani amuokoe na yy kutoka ktk mikono hii sasa
  7. koriangai

    Hili Tatizo la kuweka "L" badala ya "R" katika uandishi ni Janga la Kitaifa

    Hili neno "jomoni" chanzo chake ni ukahaba na silipendiiiii
  8. koriangai

    Mwanamke wangu anamiguu iliyokonda

    Kuna aina 120 ya vichaa duniani naona hiki kinataka kuongeza idadi
  9. koriangai

    Kama hiki nilichokisikia Radio One ni kweli, basi tunaomba majibu ya haraka sana kwa Wahusika

    Kweli kama ni kuumia niliumia sana waje na majibu ya kujitosheleza kama mtu anataka kufanya uokozi ww unawakataza ina maana hapo hawakutenda haki hata kidogo au walikuwa wanaangalia zaidi mapato wakidhani labda watu watavuka bure upande wa pili wakati raia wanakufa bila uokozi?
  10. koriangai

    Zijue baadhi ya sababu: Kwanini hupaswi kumuoa mwanamke askari

    Naona kama mkuu hapo umekosea kidogo kwa hiyo askari wa kike hastahili haki yake ya kimsingi ya kuolewa? Na mbona hilo la kuoa/kuolewa kwa askari yeyote duniani ni kawaida kama raia wengine ,,,, sema ukijifanya kidume ndani ya nyumba kwa michepuko lazima akutoe manundu na asbh ukimbilie kwenye...
  11. koriangai

    Ulikuwa wapi wakati Ufaransa hii inaitoa nishai Italy Euro 2000

    Hapo niliona fainali zote nikiwa dar kweli sijaona kikosi kama hiki cha Taifa maana kilikuwa na kila ufundi .........ilikuwa raha sana kama fainali ya Euro 1999 man United Vs Bayern Munich nalo lilikuwa bonge la game
  12. koriangai

    Nillan sio Mtoto wa Diamond Platnumz, Wema Sepetu analala Madale

    Sasa uoe mke aishi south Africa ww uishi bongo useme nipo kwenye ndoa huo ni uongo wa kiwango cha lami
Back
Top Bottom