Recent content by kopo la chumvi

  1. kopo la chumvi

    Mitihani yanayoyotungwa na halmashauri hawazingatii mtaala

    Mtaala umezingatiwa vzr sana kiongozi..tenga muda ukague vitabu vya kiada darasa la tatu mfano SANAA NA MICHEZO,,HISTORIA YA TANZANIA n.k,Pengine utagundua kitu kizuri Sana,,Walimu tunaogopa adi kuwafundisha baadhi ya vitu maana umri wao na MAHIRI wanazopaswa kujengewa ni ngumu muno
  2. kopo la chumvi

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    Ivi ata wewe Tanzania inaweza kukushinda kuongoza? Mimi apa na elimu yangu ndogo nikipewa wizara naiongoza. kikubwa nisiwe mwanachama wa ccm, maana pale ccm kama Young Africans ni watu watatu tu .....[emoji13]
  3. kopo la chumvi

    Yanga mlishawahi kufungwa goli Refa akasema ni kona. MNAKUMBUKA??

    Hahaaaaaa [emoji13][emoji13][emoji196]
  4. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Jamaa ameandika vzr sana
  5. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Niko uhayani Bukoba naomba connection wadau
  6. kopo la chumvi

    Tanesco tangazeni kama mgao wa umeme umerudi

    DP world achana na banDari yetu chukua Tanesco na mkoa wa tabora kama nyongeza buree [emoji13][emoji13][emoji13]
  7. kopo la chumvi

    Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

    Pole ndugu yngu,,kama mko karibu na kambi yoyote ya jeshi tafadhali nenda pale mama aeleze kwa mkuu wao,,hakika watasaidia sana wale jamaa.Atasema yote kule
  8. kopo la chumvi

    Ilala: Tundu Lissu awalipua Mamluki Kitenge, Zembwela, Baba Levo na Manara

    Toeni kenge hiyo yaan Mijitu ya Burundi hii
  9. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Leteni visa vya kuvuliwa kimasihara
  10. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Njoo na maandishi yanayosomeka nimekula mpangaji mwezangu kimasihara sio haya maneno yako.
  11. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Bado uko ifakara!
  12. kopo la chumvi

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Akili yangu inaniambia wewe ndie DP World Hongera sana mwamba,, hongera sana mwamba ,, hongera sana kaka
Back
Top Bottom