wazee wa visasi kama kawa wamemharibia nafasi yake ya udiwani wamenyang'anya shamba lake plus upotevu wa nyaraka angalau kidogo wameridhika
ushauri wangu manji unapata misukosuko kama uko upinzani kwanini usihamie tu upinzani maana nadhani ungekuwa na njia mbadala kuishi nao kuliko sawa unacheka...
ni kweli wengine hawapendi vitambi ila yakupasa utambue kuwa vipo vitambi vya maumbile na vya kujitakia
mwambie dada hao wote wanaolisema tumbo lake si type yake atakuwa ana tatizo so wanashindwa kumuambia ukweli tumbo linakuwa kisingizio
coz mwanamke anayestahili kuwa mke muhimu huwa ni tabia...
usipate shida ukiona mwili unawasha pita pale lugalo kanyaga mau au ukojoe pembeni barabara yaani kwenye majani
ukirudi usitupe mrejesho itakuwa siri yako mkuu
kulalamika hakusaidii tuacheni umalaya jamani hata mimi nina mpango wa kutengeneza account ya nyingine halafu naweka picha ya demu mkali kiasi kwamba wakora mkiona tu picha udenda unawatoka
umenena vyema wenye aikili watakuelewa kama mimi nilivyokuelewa Richmond imebadilishwa jina leo hii inaitwa symbion kwa bahati nzuri Obama kabla ya kuondoka kurudi marekani alipitia kuzindua hiyo mitambo akiwa ameongozana na rais mstaafu sio waziri mkuu wa zamani je kuna ambaye bado hajamjua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.