Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,580
- 780
Wap huko????Yanga imepata ml 950 wakat simba imepata 880 ss sjui ulikuwa na maana ipi
Wap huko????Yanga imepata ml 950 wakat simba imepata 880 ss sjui ulikuwa na maana ipi
SportpesaWap huko????
Mpira wacheze Kagera na tena walifungwa, then point 3 wazifate USWIZI.kwa kuwakata pumzi tunampiga Mbao alafu mje na hizo 3 pts za mezani tuone,Simba mmekamatika hakika.
Huu mwaka wana Simba tutakoma, anyway ngoja niendelee na mipango ya kuona kama Liverpool FC tunacheza UEFA.
Haa timu unazoshabikia majanga tupu
Ni upepo tu utapita, tuliwahi kuwa juu na sisi na tutarudi.
Lini hio?am waiting
Next year Liverpool tunacheza UEFA, tutakuwa na nafasi ya ku-attract wachezaji wazuri na probably EPL itakuwa yetu msimu ujao.
sema ule ukweli Liverpool naifananisha na arsenal hazinaga makali kihivyo ila ni maarufu sana.