Recent content by kondoomwema

  1. kondoomwema

    Mliooa na kudumu kwenye ndoa nawapa bg up

    Ulikosea sana unaazaje maisha na gunia la mkaa
  2. kondoomwema

    Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

    Unaenda vipi Bilal kumtaarifu kama unaenda kwake
  3. kondoomwema

    PreGE2025 Mbowe: Nitajiuzulu siasa 2025 endapo CCM itashinda angalau kiti kimoja tu cha jimbo mkoani Kilimanjaro

    Kuna mwezako hulu alisema akihamia ccm tuchome nyumba yake Leo yupo ccm
  4. kondoomwema

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    113-360 turbo intercooler
  5. kondoomwema

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁kweli kabisa naomba kwaya wote hovyo kabisa.oa kabisa baada ya kuzalisha ndio umtafutie kazi au kumfungulia biashara.hakikisha umeenda kujitambulisha kwao na kwenu.tulioa mabarmed tunaenjoy sana kwanza mzuri pia anajua kila kitu
  6. kondoomwema

    Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

    Yaani kapiga dashboard mpaka kanata
  7. kondoomwema

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    No comment umemaliliza kila kitu hongera sana mtumishi
  8. kondoomwema

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Binti hana shida sana atakuletea mjuukuu tu.kwa mtoto wa kiume ndio tatizo sana
  9. kondoomwema

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁alizichukia x-trail zote pamoja na madocta wote
  10. kondoomwema

    Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

    Hapa anaongelea wenye vipato vya uhakika wewe enndelea kula tu kila kinapopatikana
  11. kondoomwema

    Mtume na nabii achezea kichapo Afrika Kusini kutoka kwa waumini wake

    Ngoja kuna nabii mmoja hapa town siku zake zinahesabika mpaka ITV wataripoti taarifa ya habari ya saa 2
  12. kondoomwema

    Magazeti RFA: Makamu yupo ziarani nje ya nchi

    Hapa nangojea taarifa ya waziri mkuu tu ndio nitaamini
Back
Top Bottom