Yaani kapiga dashboard mpaka kanataUnaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
Na kichwa kikaingia humo akabaki kaning'inia?
Njoo nilikaze.Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Sote tutakufa ila watu wa hivi ni kama wanajitakia kifo sijui huwa wanawahi kitu gani.Wataisha sana wazee wa Nduthi
Tumbo la uzazi kwani mnakuaga nayo mangapi?Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Una watoto?Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
She is a she chubby sheThought ya he, kumbe he is she
.
Amesema ana tumbo la uzaziUna watoto?
Sijui! Nasikiaga tu kina mama wanasemaTumbo la uzazi kwani mnakuaga nayo mangapi?
HapanaUna watoto?
😳😳😳Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Ila la uzazi bado unalo?Sijui! Nasikiaga tu kina mama wanasema
Ninalo! Siamini kama Mungu kaniumba mgumbaIla la uzazi bado unalo?
Tuzae basi mmojaSijui! Nasikiaga tu kina mama wanasema
Hapana