Bush land unasema haitatokea mtu mweusi kuwa tajiri barani africa?huyo alhaj aliko dangote ni mnigeria halisi mweusi ambaye ndiye tajiri number 1 africa.
Dah,pole ndugu ni wengi wanakumbana na kasumba hiyo.vumilia huenda ikawa ni kipindi cha mpito lakini mtoto wako kulelewa na mama/baba wa kambo ni changamoto nyingine.
Mnfanya wizi wenu kimya kimya alafu mkishabainika ndo mnaanza kutuzuzua ili kuzima soo...wewe uliyebainika ushughulikiwe kivyako kwanza hizo takataka nyingine zitafata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.