Baada ya kumtongoza

Baada ya kumtongoza

Nunua simu kwanza halafu akikubomu tena ujue unatakiwa uzame kwenye should. Engine yasubiri
 
Habari zenu wakuu,

Natumaini mu wazima katika Sunday hii, imenitokea kumpenda dada mmoja ambaye ni muuza mihogo na tambi katika chuo chetu hapa mjini. Katika harakati za kumpa namba nilimpa P6 yangu aandike namba..

Siku ya 4 nikamtongoza akasema OK. Baada ya figisu figisu za kutongozana akasema hana simu namsaidiaje? Wakati tunachat akasema narudisha simu sio yangu..

Msaada jamani hapo kuna mapenzi kweli?

Karibuni

tumeshakaribia ahsante...naomba pepsi ya.baridi sana na tissue usisahau
 
hadi hicho unaomba ushauri?? chuo siku hizi kuna asilimia kubwa ya wasioweza pambanua vitu. unge google tu swali lako
 
Habari zenu wakuu,

Natumaini mu wazima katika Sunday hii, imenitokea kumpenda dada mmoja ambaye ni muuza mihogo na tambi katika chuo chetu hapa mjini. Katika harakati za kumpa namba nilimpa P6 yangu aandike namba..

Siku ya 4 nikamtongoza akasema OK. Baada ya figisu figisu za kutongozana akasema hana simu namsaidiaje? Wakati tunachat akasema narudisha simu sio yangu..

Msaada jamani hapo kuna mapenzi kweli?

Karibuni

P6 ni simu gani?..Ahaa, kumbe TECNO...:lol::lol:
Next time ukibata boom nunua meza na kiti cha kusomea.
 
Back
Top Bottom