Mkuu hapo unatereza sasa,we una uwezo gani wa kufikiri had uthibitishe wana Ccm ni wajinga?Sio poa hiyo
Sent from my it1453 using JamiiForums mobile app
Mtoa post tambua bank anaingia mtu mwenye fedha na bank haina urafiki na masikini,sasa kama mianya ya kuiba imepungua lzm watu wapungue bank.Tupige kazi halali tutapata cash na bank zitaendelea vizuri.MKAO WA AKILI ZA WENGI BADO UNAWAZA MADILI NA NDIO STRESS ZINAPOANZIA
Sent from my itel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.