Recent content by komunte

  1. komunte

    Mnawachukuliaje watu wa GNLD na Forever Living Products?

    Watanzania Wengi Wanahitaji elimu Ya Biashara...!!! Network Marketing ni mfumo wanaotumia makampuni ya Njee kuingiza Bidhaa zao nchini..!! Bidhaaa yenyewe Ghali; wangapi watanunua..?? Hivi kweli uchumi wa Nchi utakuwa kwa kufanya Imports ya hizi products kutoka njee....Serikali ipige marufuku tu...
  2. komunte

    Vodacom tuoneeni huruma, mtatupoteza wateja wenu...

    Vodacoma mnazingua kw kweli....nimeweka kifurushi cha wiki GB1 kwa 4200 after one day kimeisha....yaani gb 1 inaweza kuwa mb 500 maana nkitumia mtandao wa tigo kwa matumizi yale yale inakaa wiki nzima
  3. komunte

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Nafikiri watu wenye Calibra ya Ben wa Saanane wanahitajika Bungeni; sio mafala kama livingstone Lusinde au Hawa Ghasia...Ben Bunge la Tanzania linakuhitaji na sio wewe kulihitaji Bunge...!! Tuko pamoja
  4. komunte

    Kwa wanawake tu! Mwanaume ukiingia roho itakuchomoka!!! Shauri Yako...

    Wanawake wa Pwani ni malaya na wapenda dushelele...hayo mambo yapo na hayataisha...hakuna excuse ya kutoka nje ya ndoa kisa dushelele....nikijua nakumaliza chaap..mwanamke mpumbavu huiharibu ndoa yake mwenyewe
  5. komunte

    Kwa wanawake tu! Mwanaume ukiingia roho itakuchomoka!!! Shauri Yako...

    Kuna wanawake wana akili ndogo sana..!! Hakuna relationship iliyo perfect lazima utakuta mmoja ana mapungufu...ni wajibu wa kila mmoja kujua tatizo la mwenzake na kumsaidia...!! Kwenye upande 6×6 ni hatar kuoa mwanamke wa pwani,morogoro kusini pwani mtwara retc..hii mikoa wanafundishwa ngono...
  6. komunte

    Natafuta petrol station on the renting basis

    Mimi ni kjana niliyeajiriwa kwenye kampuni moja mafuta Tanzania, lakini nimepata access ya running capital - mafuta pamoja na initial fund ya ku_run petrol station. Kwa yeyote mwenye connection anisaidie tufanye business; pia vituo vya watu binafsi navipa priority kubwa, coz vituo vya makampuni...
  7. komunte

    Niuzie Smartphone fasta

    Samsung Galaxy S5 nipe 1.2m nikuuzie fasta
  8. komunte

    Agano lipi lina Nguvu? La maneno au La Damu.??

    Katika Kuwaza kwangu nilijiuliza mambo Mengi. Katika kusoma maandiko nikagundua Damu ina nguvu sana. Nikagundua Damu inapomwagika inaweza kuongea, ndo Maana Cain alipomuua Abel, Mungu akamwambia Cain mbona Damu ya Nduguyo inanililia.?? Nikagundua Hata Mungu alipokuwa anafanya Maagano Na...
  9. komunte

    Masharti ya kuuza Petroli dukani kijijini.

    Mkuu uko maeneo gani..??? Njoo Inbox tufanye Biashara. Tuna Magari yenye tank na Pump nyuma. Tutakupa Gari ila mafuta unanunua kwetu
  10. komunte

    God vs satan

    God of Ibrahim
  11. komunte

    Bachelor of Health System Management!

    Wewe unaongea nini ? Nimesoma Mzumbe na Kumaliza Mzumbe main. Huo ndo ukweli wapo weng wamemLiza na hawana ajira mwaka huu
  12. komunte

    Bachelor of Health System Management!

    Wewe unaongea nini ? Nimesoma Mzumbe na Kumaliza Mzumbe main. Huo ndo ukweli wapo weng wamemLiza na hawana ajira mwaka huu
  13. komunte

    Bachelor of Health System Management!

    Bachelor ya HSM haina market tena, nakumbuka nikiwa first year wale waliomaliza darasa la kwanza kabisa walipata wote kazi; sasa hivi masters ya HSM ndo ina-market kidogo. Na wengi wanaosoma hii masters of HSM ni Madaktari. Nina marafiki zangu kibao wamemaliza hii kozi na hawana ajira
  14. komunte

    How James Rugemalira outsmarted the Government of Tanzania (GoT)

    Ccm ni madalali wa Hii nchi
Back
Top Bottom