Uwiii jamani! ina maana hiyo shule haina walizi mpaka mtoto anatoroka usiku,alafu wanasema ilikuwa kawaida yake.Kweli watoto wetu hawako mikono salama wanapokuwa shule.
Kuna ukweli kabisaa! Hata kule kwetu kama unataka kuona hizo koo unaambiwa kabisa usioe hawana baraka kama una mali zote zinaisha wanaitwa mlango wa nane.
Lazima usachiwe kama ukiobwa hutoi unasema sina, alafu unarudi kila siku umelewa. Ila huo siyo wizi anasogeza tu, angekuwa mwizi asingechukuwa zote angaokota moja ili usigudue ila yeye anakomba zotee! haaa! ila huyu kiboko,na huyu mume naeanaonekana anamwogopa huyu mwanamke we hela zinakobwa...
[QUOT
E="Agent007, post: 15409124, member: 339162"]Hahahaha apo ukiona umetafutwa ujue yule mdada wikiend hiyo alikua hana pesa ndio akaikumbuka business card uliyompa
Yahaya! au akina marioo kutwa kupiga mizinga lakini ukimkuta katinga kwenye gari nzuri tinted na sijui wanaazima kwenye...
Wafukuze wakakutangazie kijiji kizima kuwa una roho mbaya,wakafikie wapi? na ww umewatangazia kuwa kwa sasa umejenga nyumba kubwa na unaishi mwenyewe.Bongo kubwa hii walijuaje wanakijiji wako!!
Ndiyo maana na sisi tumeshakuwa wajanja tunanunua plot kwa majina yetu na inakuwa siri yetu na ndugu zetu.Pia na ss tunaishi na nyie kwa akili tumeshachoka kunyanyasika ebo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.