Recent content by kombokokingachi

  1. kombokokingachi

    Kupaua nyumba

    Mkuu toa bei ya bati na mbao na zinapatikana wapi ili iwe msaada na kwa wengine pia ndo lengo la kuleta huu uzi hapa....
  2. kombokokingachi

    Kupaua nyumba

    Toa mchanganuo na bei mkuu itasaidia na wengine pia....
  3. kombokokingachi

    Kupaua nyumba

    Nipo dar mkuu...
  4. kombokokingachi

    Kupaua nyumba

    Habari zenu wakuu.... Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu au mafundi ujenzi gharama za kupaua nyumba ya vyumba viwili vya kawaida vya kulala,master moja,choo na bafu vya public,dinning na sebule,stoo na jiko... Je, kwa makadirio zitahitajika bati ngapi,mbao ngapi. Angalizo: Nataka kupaua kwa...
  5. kombokokingachi

    Ninawashangaa sana wasichana wenye tabia hii

    Unayoyasema kama kweli hutanii naona ni ndoto za alinacha. Tusubirie hapahapa walahi kuna siku utakuja na stori ya Nimegegedwa bila kujitambua..naombeni ushauri.
  6. kombokokingachi

    Jinsi ya kun’goa madenti kwa kutumia paper

    Watu mngekuwa mnakuna na kuumiza vichwa kuwekeza kwenye mambo ya maendeleo kama mnvyowekeza kwenye papuchi hakika Nchi yetu ingependeza kama Paradiso.
  7. kombokokingachi

    Mwanaume kama hujui kutunza utaishia kuitaga shemeji

    "Ndio maana wengi wenu mnaishia kuchezewa mnamegwa, mnaachwa na hata msiolewe" By A. Ngwea.
  8. kombokokingachi

    Watanzania tujikite kwenye uzalishaji tupunguze uchuuzi na biashara za ujanja ujanja

    Mkuu Kakende sio kwamba napingana na hoja yako ila nafikiri ni vizuri tuchangamkie fursa zilizopo kama mleta uzi huu anavyotuasa. Kwa mtazamo wangu tuache kujifariji kwa kuitupia serikali lawama. Hata serikali ingetusaidia vipi kama mtu huna juhudi binafsi ya kujiongeza huwezi kufanikiwa. Vijana...
  9. kombokokingachi

    Matapeli Wamezagaa kupitia Tigo Pesa, M-Pesa na Airtel Money kuweni Makini

    Mkuu nashukuru kwa kuwajuza wadau. Ni kweli kabisa huu wizi upo. Mi mwishoni mwa mwaka juzi(2012) nilipigwa laki sita. Baada ya kufuatilia sana makao makuu ya tigo bila mafanikio ilibidi niwe mpole. Kitu cha kushangaza mesage iliingia kama meseji nyingine za tigopesa, na mbaya zaidi mesage...
  10. kombokokingachi

    My girlfriend want to share with her friend.

    Mijitu mingine ya ajabu sana. Mnakutana na wahuni au in short machangu then you dare to call them strange name ''MY GIRLFRIEND''. Mtu mwenye hadhi ya kuitwa girlfiend hawezi fanya upuuzi wa kushare mapenzi leave alone kupenda kuchokonolewa kunako taka ngumu. Halafu unakuja hapa kuomba ushauri...
  11. kombokokingachi

    Mapenzi basi tena

    Una lako jambo na wala haiwezi kuniingia akilini usikute kuna mtu unataka kumuibia hapa. Yangu macho..time will tell.
  12. kombokokingachi

    Kulala na mwanaume mwenzako akiwa uchi, njia panda

    Kweli dunia haiishi vituko...umefanya uamuzi wa busara maana lolote laweza kutokea. Prevention is better than cure
  13. kombokokingachi

    Kilichojiri bungeni Tarehe 13 April (Muswada wa mafao)

    Kweli kwa hili serikali imefikia hatua ya kuibia wafanyakazi waziwazi. Kwa hali hii tutafika kweli? Ikumbukwe kuwa serikali inadaiwa fedha nyingi sana na hii mifuko ya kijamii. Kila kukicha utasikia miradhi kadha wa kadha inayofadhiliwa na hii mifuko ka ma ujenzi wa vyuo, barabara na madaraja...
Back
Top Bottom