Umepotea kulikomwanzo ulipaswa urekebishe kwa kuitambua Dini inataka nini luliko kuiacha. Hakuna mtu ambae alishafanya makosa kwa kumchagua Mungu.nitafute nikuonyeshe ulivyokosea na unavyopaswa kurelebisha
Shem wetu bhana! Inawezekana kweli hukusoma! Masomo ni hadithi nyingine hata kama hujasup kitendo cha mda wote ukishughulisha ubongo huwezi kuchangamka ghafla kwenye mambo hayo maana hayo so kitu kwa masomo,msubiri amalize hali itarudi yenyewe,hats ivyo una bahati Mimi hats hakuionja wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.