Recent content by KOGELO

  1. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Ijumaa Kuu: Rais Magufuli ashiriki misa takatifu St. Peters Church, Osterbay

    Kama sio wakristo na mimi ningekuwa mkristo. N Maneno haya alisemwa na baba wa taifa la india Mahatma Ghandi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Ofisi za muda za TAMISEMI Dodoma

    Waliambiwa wavute kwa siri sasa mtoko utakuwa hivi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Mjue Slimthickleilah, mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa

    Hana chuchu amekosa sifa za kuwa msichana Labda umweke kundi moja na amber ruty Sent using Jamii Forums mobile app
  4. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Catherine Ruge: Serikali ya awamu ya 5 imevunja rekodi ya kukiuka Sheria ya Manunuzi ya Umma ya 2011

    Bunge dhaifu limeshindwa kuibadilisha hiyo sheria? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Simama imara ni mapito tu, usijichanganye

    Hata kama umepima ukakuta una ngoma? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

    Waisrael tupo tumetulia tuwakati tunasubiri wakati wa Mungu wetu ufike wambulu turudi mesopotamia na wamasai turudi misri na israel. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2020, Rais Magufuli atayarudisha 80% ya majimbo ya upinzani CCM. Mgombea urais wa upinzani kuambulia aibu ya kihistoria

    CAG atakuwa amejiudhulu? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Mpya kutoka kwa RC Paul Makonda: Aja na kampeni ya kuwasaidia Wajane

    Halafu siku hiyo kuna mtu atatekwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. KOGELO

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkenya aliyetekwa na wasiojulikana wa kutokea Tanzania arejeshwa, aeleza alivyozushiwa ugaidi

    Duniani hakuna kitu kinaitwa ugaidi. Hii ni mipango ya mzungu kutuzingua. We fikiria alshabab wanakipato gani cha ku survive miaka 10? Yaani mzungu anakuonyesha picha za kundi la isis likihamisha vifaa vizitovizito kutoka mji mmoja huko syria kwenda mji mwingine? This is childsh comedy. Sent...
  10. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Nyinyi European Union nyinyi - ile kitu mbaya mnamfanzia Rais wetu kipenzi Mungu anawaona!

    Pale zamani palikuwa kituo kikuu cha utekaji wa magari makubwa cha biashara ya wizina utekaji kikiongozwa na bwana Karikenya. Ilifikia mahali sadaka ikiwa ndogo mchungaji alikuwa anawachapa mkwara kuwa anajua ni magari mangapi yaliibiwa kwa siku na mali zilizoibiwa na kama wakiendelea na kuleta...
  11. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Picha za hivi nazipenda sana

    Picha za hivi huwa nazipendaga sana. Viongozi lazima wakutane na kujadili masuala nyeti ya kitaifa na kimataifa. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Pierre(Konki Liquid) apata mwaliko Ughaibuni

    Kwani haiba ya wema ndio tunataka mabinti zetu wawe hivyo? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Mh.Makonda umejikwaa kidogo kumshambulia Pierre!

    Leta maoni yako tujue umesimamia wapi kwenye huu mtokoto wa bashite kwa sababu wewe uko kama bangi ukitumika kama dawa unatibu mgonjwa mmoja halafu unaharibu watu 1000 ukikaa upande wa uvutaji. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amshukuru Pierre Liquid kwa kuhudhuria na kuhamasisha TOKOMEZA ZERO KISARAWE

    Huyu bashite juzi ikulu alikuwa anataka makamu wa rais amtaje yeye kama mwenyekiti wa uhamasishaji taifa stars. Sasa kitendo cha mama samia kumtaja Liquid kimempa wivu wa hatari. Tunaomba ulinzi wa konk faya uongezwe kwa maana tunaweza tusimuone tena. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. KOGELO

    JamiiForums Tanzania Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

    He is not right and not wise. Yeye amehamasisha ulevi kwa watanzania elfu sitini na tano walioingia uwanja wa mkapa. Pia akahamasisha ulevi kwa watanzania milion 5 wa mkoa anaoungoza. Kosa la piere ni kunywa alichokihamasisha? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom