Recent content by Kofia Baya

  1. Kofia Baya

    Hii ndio sababu maandamano ya #TanzaniaRevolution hayatofanikiwa

    hahahaaa mkuu mbona kama hii dalili ya woga Kwa hiyo tar hiyo ikifika mtaandamana moyoni
  2. Kofia Baya

    Kwanini katika Walinzi wengi wa Marais duniani kuna mmoja huwa anavalia miwani myeusi?

    Mbowe yeye ana kiwanda cha kutengeneza mpaka duniani ikosekane
  3. Kofia Baya

    KUTOKA NGORONGORO: Faru Ndugai ameua ng’ombe wawili kwenye vijiji vya jirani, alitoka nje ya kreta

    Kafuata ukorofi wa wajina wake nae mkorofi alishawahi mzimisha mtu Kwa mkwaju ila napenda nimuone faru Tito maana atakuwa anawatafuna tu
  4. Kofia Baya

    Ni kweli wapo watu hawafanyi kabisa mpaka ndoa. Is it a myth au wapo kweli?

    Mimi nilikutana nae akanipa hizo swaga nilimuekeza ukweli kwamba kama yeye in bikra nitasubiri ila kama alishawahi tumika bora anipe tu maana anaweza gegedwa nje mile sijui alafu vilevile Mimi atakuwa hanipendi Kwa nini wenzangu wapewe kabla ya ndoa Mimi nipewe baada ya ndoa
  5. Kofia Baya

    USHAURI; Nifanyeje ili kuweza kufaulu Oral Interview

    Hapa kikubwa ni confidence tu ndio maana materials zinaama kichwani soma vitabu vya kuboost confidence yako mimi nilishawahi kuwa nayo siku ya interview nikanywa konyagi alafu nikapiga mswaki kisha nikaoga nilipofika eneo la interview nilisahau mpaka nilichoandika kwenye cv nikabaki nashangaa...
  6. Kofia Baya

    Siasa ya Tanzania ina unafiki mkubwa

    Habari za wakati huu Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kusema ukweli sijaona nia ya dhati ya wanasiasa wetu katika kulikomboa taifa letu (chama tawala vs upinzani) zaidi ya ushabiki wa simba na yanga. Kitu ambacho nimejifunza katika vyama vyetu hivi ni kwamba kila kitu kinachofanyika...
  7. Kofia Baya

    Urafiki baina ya mume na mke huleta furaha kwenye ndoa

    Habari za muda huu wadau Katika siku za karibuni kumeibuka wimbi la watu mbalimbali ikiwamo viongozi wa dini kuingia katika mtego wa kuamini kwamba mapenzi ni ngono na ili mumeo au mkeo asikukimbie inabidi uwe umebobea katika nyanja hiyo. Matokeo yake mafundisho mengi ya wanandoa watarajiwa na...
  8. Kofia Baya

    Soko la kambale

    Habari zenu watafutaji wenzangu Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimeanza kufanya mradi wa kufuga kambale lakini tatizo na changamoto nilizo nazo mpaka sasa bado sijapata soko ambapo wanaweza kuchukua kwa jumla pindi watapokua maana ni bado wadogo na nimejifunza kuzalisha kambale hivyo...
  9. Kofia Baya

    Nampenda Changudoa

    Habari za wakati huu Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu Mimi ni kijana ambaye nipo katika msongo mkubwa wa mawazo baada ya kulamba sumu ya penzi ambapo mwisho wa siku hata nikijaribu kunywa maziwa hali inazidi kuwa mbaya ukilinganisha na awali kwani moyo unataka lakini akili inakataa...
Back
Top Bottom