2015 Nilikua Lisbon,dah kule ngozi nyeusi kama zote na wengi wanatokea msumbiji. Siku moja natoka training nashangaa nasimamishwa na mshakaji mmoja black anaanza kuniongelesha kireno,kuna kitu alikua naulizia, nikamwambia i don't understand portugese akala kona
Yanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.