Recent content by kluvert

  1. K

    Ulimbukeni, wanawake wa kitanzania kuamini katika makalio

    Mambo ya English figure nawaachia wazungu mimi nasisimka nikiona wowo wooo
  2. K

    Wapinzani wanataka mikutano ya kisiasa kwa malengo gani?

    Kutokana na kuzuia shughuli za siasa matokeo yake mna fanya siasa mbaka kwenye shughuli za kijeshi
  3. K

    Mama Sitta siamini umefikia hatua ya kuwatetea waliovunja sheria za nchi

    Sikuwahi kutegemea kama Mama ambaye nilikuwa ' nakuheshimu ' wakati unajua kabisa kuwa hao Watu ndiyo wameliingizia Taifa hili ' hasara ' kubwa na pengine hadi kutusababishia leo kuwa wadaiwa ' Sugu ' Kimataifa na nchi kuwa bado nyuma Kimaendeleo hivi leo ( jana ) ungesimama pale uwanjani na...
  4. K

    Media kususia habari za fulani: Je, Tanzania tuna Independent Media yenye jeuri hiyo?

    Inaonekana na wewe unaunga mkono mgomo kwa kuamua kutomtaja mlegwa safi sana
  5. K

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Mbona povu linakutoka? Ihi vita ya watumishi waliyo gushi vyeti ameianzisha Rais, huyo jamaa ameamua kumuunga mkono Rais
  6. K

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Nilitegemea kuiona iyo historia ya Makonda lakini si kuiona, nimekutana na utetezi! Utetezi wenyewe haushibishi, katika iyo historia yake aliyokupa a kugusia kuhusu cheti cha kidato cha nne?
  7. K

    Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    Kutenganisha sherehe za maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika na uwanja wa uhuru ni kupoteza maana ya sherehe zenyewe
  8. K

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Dr Slaa kama umehamua kubaki kwenye ukweli simamia msimamo wako, usikatishwe tamaa na wanaokutukana na kukuzalilisha naamini jina lako litabaki katika kumbukumbu za watanzania kwa kupambana na ufisadi, mimi ni mmoja wa watanzania wanaotaka mabadiliko lakini sipo tayari kwa mabadiliko yatakayompa...
  9. K

    Hofu ya Dk. Slaa

    Wajitokeze watuondoe hofu
  10. K

    Ingawa sijawaona Pele na Maradona, ila nina uhakika hawamfikii Gaucho

    Ndugu yangu ukimtendea haki mtu mmoja anaitwa Zinedin Zidane kwangu mimi huyu ndiye alikua fundi wa mpila kama ujawai kumuona tafuta mechi alizo cheza uangalie
  11. K

    CHADEMA kuongea na Vyombo vya Habari leo saa tano

    mkuu kwa ili umekosea!
  12. K

    Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

    Nashukuru umenielewa japo nimekosea! Asingekwenda mahakamani angeshafukuzwa uanachama siku nyingi alikwenda mahakamani kutafuta haki
  13. K

    Zitto kutimkia ACT-Tanzania?

    Alisema atakuwa wa mwisho kutoka chadema kwa hiyali yake! Hakutoka kwa hiyali yake amefukuzwa
  14. K

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    Amesema wajumbe wa PAC. Hivi PAC inawajumbe 250?
Back
Top Bottom