Ila mna JUHUDI, Ingekuwa juhudi hizi mnaziweka kwenye mambo ya msingi mngekuwa mbali sanaBashite kaula wachuya na dikteta uchwara hawezi kufanya chochote kile ili Bashite atangazwe na vyombo vya habari au kuandika habari zake. Mpaka kieleweke kuhusu huyu mhuni Bashite.
Hembu mwansheria wetu tutajie vifungu vya sheria vinavyo mruhusu kiongozi kuvamia ofisi ya mtu kwa silaha, pia tutajie vifungu vinavyo ruhusi mtu kusoma kwa vyeti sio vyake. Pia tusaidie vifungu vya katiba vinavyo ruhusi kiongozi kutumia mali za watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Aksante kwa msaada wako wakisheriaWana JF nafikiri huu uzi utatusaidia kujadili kimakini bila mihemukokuhusu ususiaji wa kuandika habari za mtu fulani..
Agizo ama MAKUBALIANO kati ya TEF na UTPC ni ukiukaji mkubwa wa katiba ya nchi yetu. Hasa ikizingatiwa kuwa vyombo vya habari ndo vinatakikana kuwa MSTARI wa MBELE katika kuhamasisha kama kuna UKIUKWAJI wowote wa katiba kwa mtu yeyote pasipo kujalicheo chake.
Iwe ni katika kuikumbusha SERIKALI mahali imejisahau lakini si kushiriki katika KUIKIUKA katiba
Juzi juzi TEF na UTPC walikubaliana kumpa BLACKOUT mtumishi mmoja wa serikali.
Naomba NIELEWEKE uzi huu si wa kumtetea mtu yeyote bali ni kusimamia haki ya kikatiba.
Katika Katiba ya nchi yetu Article on RIGHT TO FREEDOM and CONSCIENCE 18 6{d} na
[1b] ya 2005.
Inasema nami nanukuu Hapohapo.I{b}inasema "Mtu ana HAKI ya KUTAFUTA, KUPOKEA na KUPATIWA HABARI"
]
[6d]"Mtu ana HAKI ya kujulishwa HABARI zinazotokea wakati WOWOTE ziwe ni za MATUKIO MUHIMU ya kimaisha na JAMII...." Mwisho wa kunukuu.
Ombi langu ni kuwa tafadhali TEF na UTPC msikiuke katibaya nchi kwa sababu ya KUTOELEWANA na mtu MMOJA.
Waingereza wanamsemo "TWO wrongs do not make a RIGHT"/MAKOSA mawili HAYAKUHALALILISHI utende kama ULIVYOTENDEWA"
Hivyo ni kusema Wananchi wana HAKI ya kusikia na kujua
habari za WABUNGE, MAWAZIRI AMA kiongozi yeyote wa KISERIKALI AKIWA KAZINI kwa manufaa ya UMMA bila KUJALI YULE ANAYEANDIKA nini ALICHOKOSEWA na mtu huyo.
Nafikiri hizo ni MOJA ya ETHICS za UANDISHI wa HABARI.
Hata kama mtu hataki kuomba msamaha, TAIFA na WATU wake ni la MUHIMUzaidi kuliko mtu mmoja!!!.
TEF na UTPC yatafakarini hayo.
kutoka kwa kiongozi yeyote wa SERIKALI
Inaonekana na wewe unaunga mkono mgomo kwa kuamua kutomtaja mlegwa safi sanaWana JF nafikiri huu uzi utatusaidia kujadili kimakini bila mihemukokuhusu ususiaji wa kuandika habari za mtu fulani..
Agizo ama MAKUBALIANO kati ya TEF na UTPC ni ukiukaji mkubwa wa katiba ya nchi yetu. Hasa ikizingatiwa kuwa vyombo vya habari ndo vinatakikana kuwa MSTARI wa MBELE katika kuhamasisha kama kuna UKIUKWAJI wowote wa katiba kwa mtu yeyote pasipo kujalicheo chake.
Iwe ni katika kuikumbusha SERIKALI mahali imejisahau lakini si kushiriki katika KUIKIUKA katiba
Juzi juzi TEF na UTPC walikubaliana kumpa BLACKOUT mtumishi mmoja wa serikali.
Naomba NIELEWEKE uzi huu si wa kumtetea mtu yeyote bali ni kusimamia haki ya kikatiba.
Katika Katiba ya nchi yetu Article on RIGHT TO FREEDOM and CONSCIENCE 18 6{d} na
[1b] ya 2005.
Inasema nami nanukuu Hapohapo.I{b}inasema "Mtu ana HAKI ya KUTAFUTA, KUPOKEA na KUPATIWA HABARI"
]
[6d]"Mtu ana HAKI ya kujulishwa HABARI zinazotokea wakati WOWOTE ziwe ni za MATUKIO MUHIMU ya kimaisha na JAMII...." Mwisho wa kunukuu.
Ombi langu ni kuwa tafadhali TEF na UTPC msikiuke katibaya nchi kwa sababu ya KUTOELEWANA na mtu MMOJA.
Waingereza wanamsemo "TWO wrongs do not make a RIGHT"/MAKOSA mawili HAYAKUHALALILISHI utende kama ULIVYOTENDEWA"
Hivyo ni kusema Wananchi wana HAKI ya kusikia na kujua
habari za WABUNGE, MAWAZIRI AMA kiongozi yeyote wa KISERIKALI AKIWA KAZINI kwa manufaa ya UMMA bila KUJALI YULE ANAYEANDIKA nini ALICHOKOSEWA na mtu huyo.
Nafikiri hizo ni MOJA ya ETHICS za UANDISHI wa HABARI.
Hata kama mtu hataki kuomba msamaha, TAIFA na WATU wake ni la MUHIMUzaidi kuliko mtu mmoja!!!.
TEF na UTPC yatafakarini hayo.
kutoka kwa kiongozi yeyote wa SERIKALI
Bashite kaula wachuya na dikteta uchwara hawezi kufanya chochote kile ili Bashite atangazwe na vyombo vya habari au kuandika habari zake. Mpaka kieleweke kuhusu huyu mhuni Bashite.
Wana JF nafikiri huu uzi utatusaidia kujadili kimakini bila mihemukokuhusu ususiaji wa kuandika habari za mtu fulani..
Agizo ama MAKUBALIANO kati ya TEF na UTPC ni ukiukaji mkubwa wa katiba ya nchi yetu. Hasa ikizingatiwa kuwa vyombo vya habari ndo vinatakikana kuwa MSTARI wa MBELE katika kuhamasisha kama kuna UKIUKWAJI wowote wa katiba kwa mtu yeyote pasipo kujalicheo chake.
Iwe ni katika kuikumbusha SERIKALI mahali imejisahau lakini si kushiriki katika KUIKIUKA katiba
Juzi juzi TEF na UTPC walikubaliana kumpa BLACKOUT mtumishi mmoja wa serikali.
Naomba NIELEWEKE uzi huu si wa kumtetea mtu yeyote bali ni kusimamia haki ya kikatiba.
Katika Katiba ya nchi yetu Article on RIGHT TO FREEDOM and CONSCIENCE 18 6{d} na
[1b] ya 2005.
Inasema nami nanukuu Hapohapo.I{b}inasema "Mtu ana HAKI ya KUTAFUTA, KUPOKEA na KUPATIWA HABARI"
]
[6d]"Mtu ana HAKI ya kujulishwa HABARI zinazotokea wakati WOWOTE ziwe ni za MATUKIO MUHIMU ya kimaisha na JAMII...." Mwisho wa kunukuu.
Ombi langu ni kuwa tafadhali TEF na UTPC msikiuke katibaya nchi kwa sababu ya KUTOELEWANA na mtu MMOJA.
Waingereza wanamsemo "TWO wrongs do not make a RIGHT"/MAKOSA mawili HAYAKUHALALILISHI utende kama ULIVYOTENDEWA"
Hivyo ni kusema Wananchi wana HAKI ya kusikia na kujua
habari za WABUNGE, MAWAZIRI AMA kiongozi yeyote wa KISERIKALI AKIWA KAZINI kwa manufaa ya UMMA bila KUJALI YULE ANAYEANDIKA nini ALICHOKOSEWA na mtu huyo.
Nafikiri hizo ni MOJA ya ETHICS za UANDISHI wa HABARI.
Hata kama mtu hataki kuomba msamaha, TAIFA na WATU wake ni la MUHIMUzaidi kuliko mtu mmoja!!!.
TEF na UTPC yatafakarini hayo.
kutoka kwa kiongozi yeyote wa SERIKALI
Mkuu, nilikuwa ninataka kuwa neutral tu sina ubaya na yeyote yule.Inaonekana na wewe unaunga mkono mgomo kwa kuamua kutomtaja mlegwa safi sana
Ila mna JUHUDI, Ingekuwa juhudi hizi mnaziweka kwenye mambo ya msingi mngekuwa mbali sana
Mkuu ninakuelewa sana. Tatizo watanzania hawajielewi haki zao. Jambo la Startimes ama chombo chochote kutotoa matangazo kama TBC ni KOSA. Tumlaumu WAZIRI wa habari aliyekuwepo. Maana FTA chaneli ni HAKI ya mtanzania.Yanapo fungiwa magazeti pendwa unakuwaga wapi huoni kuwa ni makosa watu kunyimwa habari? Hata dikteta ingetakiwa aonekana na wanaongalia tbc tu. Huoni kosa startime kuiacha tbc kama local chanel pekee itakayoonekana kwa mtu ambae hajanunua kifurushi na kuzifanya local chanel nyingine ni lazima zilipiwe?
Simjui na wala sijakutana naye. Nitampata wapi?Mwambie Bashite akafungue kesi mahakamani kwa kosa la kususiwa.![]()