Maombi ya kitambulisho yatapokelewa katika Mkoa/Manispaa/Halmashauri husika kupitia mfumo wa kieletroniki wa TAMISEMI(www.tamisemi.go.tz) au kupitia Machinga App inayopatikana kwenye simu yako ya kiganjani kwa kujaza taarifa binafsi na biashara kama ifuatavyo:-Jinsia,hali ya ndoa, Makadiriao ya...
Asante kwa darasa mdau! Wabongo wengi wapo condition white, yaani mtu anasafiri toka Dar es salaam mpaka Mwanza amelala tu au anatumia simu/muziki muda wote hawezi kujua hatari ya mazingira yaliomzunguka wakati huo ili kuchukua tahadhari.
Ni vema unaposafiri kuwa mdadisi pembeni yuko nani na...
Mazoezi yanasaidia sana kwa sababu toka nianze kufanya mazoezi tatizo la constipation halipo tena . Mazoezi yamenisaidia kupata kiu ya kunywa maji, wakati zamani nilikuwa si mpenzi wa kunywa maji kabisa naweza kukaa siku mbili hadi tatu bila kunywa maji.
Tumia maji ya uvuguuvugu yakiwa na mchanganyiko wa sabuni ya Detto ya maji baada ya siku 10-14 kidonda kinakuwa kimepona.Angalizo mimi nilifanyiwa operesheni mara ya kwanza alafu baada ya mwaka tatizo likatokea tena ikabidi nifanyie tena. Ili kuepuka tatizo kujirudua usitumie choo cha kukaa na...
Suluisho la hilo tatizo ni kufanyiwa operesheni. Ugonjwa huu ni ngumu sana kumwelezea mtu kama unaaibu ila jinsi siku zinavyokwenda aibu inabidi uweke pembeni. Chanzo kikuu cha tatizo ni constipation na pia epuka vyoo vya kukaa.
Mimi ni Msukuma, ila ndio nipo hapa Marangu Mtoni yaani ni Party after Party, yaani leo ni siku ya tatu tunakula bataa lefuuu, bata la huku si la kitoto sijui kesho itakuwaje wenzetu wanainjoy sana, sijui sisi Wasukuma tunakosea wapi? Hali ya hewa nzurii kuna kabaridi fulani hivii na kwa mbaali...
Nimepitia uzi huu kila nukta na nimepata maelezo ya mtakahela. Kitu ambacho huwa mabinti wengi wanakosea ni ndimi zao/kauli zao kwa wanaume wanaokuwa kwenye Mahusiano nao.
Ukitaka mwanaume awe nawe kuwa makini unaongea nini na kwa wakati gani na pia chunga kuropoka neno baya pale pindi...
Ngoja niwape na hii ya ofisni imetokea majuzi tu.
Kuna Pisi moja ni mgeni ofisini ila ina misimamo ya hatari nadhani kwakuwa ametoka katika famili ya kilokole.Mimi kawaida yangu huwa sili magoma ya ofisini kwa kuwa naamini naweza kuaribu kazi kwa sababu kuna msela wangu alikuwa na mahusiano na...
Mi nakumbuka miaka ya nyuma huko kuna Binti mmoja nilikuwa na mtunuku kweli kweli. Kwa sababu alikuwa wa kipekee kuanzia unyayo hadi kichwani,yaani tako tako kweli, hips hips kweli, kiuno kiuno kweli,midomo midomo kweli ukija kwenye sura na tabasamu sasa, ni tabasamu kweli. Asikwambie mtu hata...
Mwaka jana kuna dogo fulani wa kiume alikuja kupiga field ofisini, bahati mbaya au nzuri kwenye Kitengo changu kulikuwa na mradi so Dogo akawa beneti sana na mimi na isitoshe huo mradi kulikuwa na posho za kutosha. Mara nyingi madogo waki pangiwa kwangu huwa siwaruhusu kutumia fedha zao kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.