swala la kuwa mchoyo au kutokuwa mchoyo hyo ni roho ya mtu tu! Haihusiani na kuwa hendsam na anaweza akawa yuko sahihi pia maana wanafahamiana na mnyimwa kuliko wewe, kwahiyo ana sababu zake
waoaji hawana sifa ndo maana wenye kazi wasio na kazi, wahuni,vibaka,wezi,majambazi ,Malaya ,mashekhe na wachungaji wote wanaoa tuu.
Wasiooa ni mapadri tu kwa sababu hawana sifa za kuoa na hao ndo tunawaita sio waoaji
Waoajai hawana sifa ila waoaji wanaoa tu, ndo maana wahuni,walevi,Malaya,majambazimashekhe na wachungaji wote wanaoa.
Wanaume ambao so waoaji no mapadri tu
Nakumbka ilikuwa 2012 maeneo ya uknga nimepng na mwngu nyumb moja ila kila MTU na gto lake
Ilikuw burdan sn maisha Yale maana kila join lzma tukutane kijiweni kW ajili ya str mbili tatu baada ya harakati za maisha
Dah! SKU isiyokumbukw jna si ndo wakahamia wapangji wawili MTU na dada yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.