Recent content by kkenzki

  1. kkenzki

    Nimezidi kuumia baada ya kuona Mamelodi amepangwa na Esperance nusu fainali. Yanga ilikuwa inaenda fainali, hata kushinda kombe

    Ivi zile clear chances alizokosa Mzize home and away hamzioni ila kila siku ni kilio cha goli la Aziz ki kukataliwa
  2. kkenzki

    Nani sahihi wanajukwaa Kuoa

    Dini gani inaruhusu haya, mbona mnaleta utani na Mungu.
  3. kkenzki

    Rafiki aligeuka kuwa mnafiki kisa mwanamke

    Ebu rekebisha hapa na uko chini kabla watu kujaa master...
  4. kkenzki

    KERO Wakazi wa Mbezi Beach tunapata maji ya bomba machafu, na yana harufu mbaya. Mlipuko wa magonjwa unakuja

    Wengine uku Mbezi Luis mabomba yanakoroma tu mpaka leo hamna maji
  5. kkenzki

    Tanzania hakuna mgawo, South Africa inatisha, mgao ni wa kutisha!

    Iyo nchi wamrudishie kaburu atawale
  6. kkenzki

    Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

    Asee, ukuta umesha piga chini apa nilipo
  7. kkenzki

    Sehemu za starehe kupiga picha ovyo nusu iharibu mahusiano yangu.

    Atakuja na humu kuona utetezi wako apite na ww kama DPP
  8. kkenzki

    TANESCO bado shida ni kubwa sana, wiki 3 transformer imeungua haijabadilishwa

    Ukiona hivyo ujue Hakuna 'wakubwa' wanaoishi mtaani kwenu.
  9. kkenzki

    Hivi kuna wanawake wanaopenda siku hizi au ni kutiana moyo ili tuoe

    Kwani maagizo ya Mungu kwa mwanamke Kwa mumewe ni kupenda?
Back
Top Bottom