Recent content by kkenzki

  1. kkenzki

    Nashauri timu ya taifa ya Senegal wajitoe mashindano yote yanayosimamiwa na Wala rushwa CAF

    Ukweli ni kwamba kocha wa Senegal alifanya kosa la kipuuzi sana kutoa timu uwanjani na wajanja wakapita nao. Nilitegemea hili
  2. kkenzki

    Kila nchi ina haki ya kuwa na silaha za aina zote

    Binafsi sioni haja ya mwanadamu kuwa silaha za maangamizi kama za nuclear kwakweli. Iwe kwa nchi yeyote ile
  3. kkenzki

    SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Dawa ya hio midege ni hii.. Marekani kampa Ukraine hi midude na Russia ameyaokota ya kutosha baada ya wana jeshi wa Ukraine kukimbia na kuyaacha front line. Tehran aongee na Moscow vizuri.
  4. kkenzki

    CRDB mnazingua huduma za ATM na Sim banking

    Aseeeeee nimekosa dili kwa ujinga huu wa leo
  5. kkenzki

    Wakazi wa Mbezi kwa Msuguli, Kibanda cha Mkaa, Mbezi Mwisho… tuna wiki mbili tunapata maji machafu ya bomba

    Nyinyi mnapata maji? Sisi uku mbezi mtaa wa muungano hatujayaona mwaka mzima sasa
  6. kkenzki

    Car4Sale Nailengesha Toyota Harrier - TSH 18,500,000/=

    Kiongozi, ebu funguka. Lina kipengele gani zaidi ya bonet io
  7. kkenzki

    Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

    Huyu YEYE ni nani? na anapata wapi nguvu za kuamua kama yeye aendelee au aandae mtu?
  8. kkenzki

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Ivi Dube amegharimu sh ngapi vile
  9. kkenzki

    Rais wa Yanga achia ngazi

    Mwalimu apewe muda
Back
Top Bottom