Recent content by kkenzki

  1. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Nimeshangaa oppo a3x inazidi Samsung a16 ubora wa picha why

    Ata flagship inayoongoza kwa camera sasaivi ni Oppo Find X9 Ultra
  2. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Nashauri timu ya taifa ya Senegal wajitoe mashindano yote yanayosimamiwa na Wala rushwa CAF

    Ukweli ni kwamba kocha wa Senegal alifanya kosa la kipuuzi sana kutoa timu uwanjani na wajanja wakapita nao. Nilitegemea hili
  3. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Kwanini MO havai jezi yenye wadhamini wakuu wa Simba Sports ambao ni kampuni ya kamari ya Betway?

    Sportpesa, Mbet mbona alivaa
  4. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Kila nchi ina haki ya kuwa na silaha za aina zote

    Binafsi sioni haja ya mwanadamu kuwa silaha za maangamizi kama za nuclear kwakweli. Iwe kwa nchi yeyote ile
  5. kkenzki

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Dawa ya hio midege ni hii.. Marekani kampa Ukraine hi midude na Russia ameyaokota ya kutosha baada ya wana jeshi wa Ukraine kukimbia na kuyaacha front line. Tehran aongee na Moscow vizuri.
  6. kkenzki

    JamiiForums Tanzania CRDB mnazingua huduma za ATM na Sim banking

    Aseeeeee nimekosa dili kwa ujinga huu wa leo
  7. kkenzki

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbunge Waitara abubujikwa machozi ya huzuni; Asema CCM wanamhujumu jimboni

    Huyu katoka kanda maalum kweli?
  8. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mbezi kwa Msuguli, Kibanda cha Mkaa, Mbezi Mwisho… tuna wiki mbili tunapata maji machafu ya bomba

    Nyinyi mnapata maji? Sisi uku mbezi mtaa wa muungano hatujayaona mwaka mzima sasa
  9. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Nailengesha Toyota Harrier - TSH 18,500,000/=

    Kiongozi, ebu funguka. Lina kipengele gani zaidi ya bonet io
  10. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

    Huyu YEYE ni nani? na anapata wapi nguvu za kuamua kama yeye aendelee au aandae mtu?
  11. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Ivi Dube amegharimu sh ngapi vile
  12. kkenzki

    JamiiForums Tanzania Rais wa Yanga achia ngazi

    Mwalimu apewe muda
Back
Top Bottom