Mbele ya kiwanja kuna mnara wa simu ambao upo close na barabara inayolink na Main road. Unaweza kuweka hizo kulingana na engineering services zitakazokuwa applied. Mm ni medical personnel sina utalaam wa building service. On seriously matter karibu utizame for clarification. Ni famous area bcoz...
Ni wilaya ya mkuranga mwanzoni. Kuna route za kkoo mpaka tambani through chamaxi, mbande then tambani. Soon after mwendo kasi kuanza Safari za mbagala kkoo basi mabasi ya mbande to posta na kkoo yataanza route ya mbagala to tambani to and fro
Nauza kiwanja cha 100/50 maeneo tajwa hapo juu. Eneo lina huduma za umeme, maji, ulinzi, kiroho nk. Ni fast growing area on buildings. Lina hati timirifu. Eneo lipo katikati ya makazi ya watu on both sides. Bei 9M. Ukihitaji nusu ya kiwanja yaan 50/50 tutapima for half of entire cost.
Karibuni
Ajira portal haina tatizo hata chembe. Ukiona neno application failed usiishambulie ajira portal kwa hoja zisizo na miguu bali chunguza attached qualifications zako zinaendana na advertising qualifications? Unakuta mtu ana Degree ya afya ila anaomba kazi inayohitaji ICT services, it will fail...
Kwa mujini Wa katiba ya chadema ukienda mahakamani kukishitaki chama kwa maamuzi kiliyofanya unapoteza wanachama wako directly. Zito alipoteza wanachama directly
Leaving certificate ni cheti cha kuhitimu elimu uliyoisoma regardless umefaulu au hukufaulu mitihani ya NECTA. Hutolewa na shule uliyosomea na kikipotea unatakiwa kufuata taratibu za loss report na kufika shuleni kwako kwa ajili ya kutengenezewa kingine. Academic certificate hutolewa na Necta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.