Tutashukuru kwasababu ukweli utajulikana. Tena anzia na kazini kwa Marehemu mmoja wapo ambaye aliajiriwa na kampuni ya GS Group Limited na ametekwa muda mfupi toka atoke kazini
Nyegele ni mnyama hatari sana. Tena akiwa mwanaume ndio kabisa. Na ukikumbana naye kuwa makini. Wana meno makali na lazima waondoke na kende zako. Dawa ya kupambana na Nyegele ni kujenga banda la juu. Kuku wako walale juu kwenye chanja. Kibaka hawezi kuchimba shimo kama la sungura na kuiba kuku...
Hapo kwenye Usiku mwema ina maanisha nini?? Kama ni Usiku mwema ya kumaanisha Good night ni vyema kusema Wan an.
Na hapo kwenye "Nide Mingzi shi shenme" tunasema "Ni jiao shenme mingzi"
Ni jambo zuri kwetu. Muhimu ni kuwabana hawa watu kufuata sheria bila shuruti. Sheria zetu za ajira, mazingira, uhamiaji na usalama makazini. Wakitii humo na waje tu.
Anapenda wanavyosoma magazeti. Itakuwa fundisho kwa TV ya taifa wanaposoma vichwa vya habari vya magazeti waache kuruka baadhi ya vichwa vya habari vinavyopewa kipaumbele kwa sababu wanazozijua wao.
Halafu ipitishwe sheria mtaa ukikutwa na teja mwenyekiti wa serikali ya mtaa na mjumbe wa nyumba kumi wachukuliwe hatua. Tutanyooka tu na hata tukipita kwa mtogole saa nane usiku hatufungi madirisha na tutaperuzi kama kawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.