Recent content by Kizoda

  1. K

    Dawa za mapenzi zipo kweli

    Ndugu zangu wanasemaga usilolijua ni kama usiku wa Giza ni Kweli Mimi ni mmoja ya watu ambao walikuwa hawaamini saana ushirikana kama upo katika mapenzi Ukweli ni kwamba ushirikana upo Tena saana Kuna watu wanajua vitu bwana dah Kuna rafiki yangu ambaye alikuwa ananishauria niende kwa mganga...
  2. K

    Wanawake wa siku hizi wanajiamini kuliko wanaume

    Yaani siku hizi bwana wanawake wamekuwa kama wanaume na wanaume wamekuwa kama wanawake Yaani wanawake wa siku hizi bwana wanajiamini kuliko hata wanaume wa Dar. Unafikiri ukimpa mimba ndo atatulia! Kumbe ndo umeenda kumuongezia Akili zaidi. I LOVE my nyeto sikuachi
  3. K

    DRC Yaishutumu Rwanda kutuma vikosi vyake nchini humo

    Kongo tunasubiri tumtowe Huyu madarakani
  4. K

    Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

    Yeah inatakiwa hiwe ivyo ili tujenge kwanza uchumi wa inch
  5. K

    Congo na Rwanda

    Unafikiri Rwanda nao hawana wa kuwapa msaada Mimi nasema wawapige Ivo Ivo nilivyo sema
  6. K

    Congo na Rwanda

    Usichukulie Rwanda poa
  7. K

    Congo na Rwanda

    Acha upumbavu wewe ni Israeli wawapi una tengeneza vitu alafu una waondowa uo uisraeli Wako uko wapi wewe pamoja Na usraeli wenu ipo siku yenu
  8. K

    Mkitaka Kagame na Museveni 'wasiishambulie' Congo DR na nyie acheni 'Unafiki' na kuwasaidia 'Waasi' wa 'Kihutu' na Burundi

    Cha kukujibu Sina Mimi kama mkongo Ninacho Lilia ni inch yangu kuona tunasumbuliwa Na sisimizi mmoja tu sisi tembo ila kwa Akili yangu Mimi ningelikuwa raisi Rwanda ni inch ya kupiga kwa matukio sio kwa vita apana ni inch ya kuwagombanisha ninyi kwa ninyi kwa watusi Na wautu maana mkingia...
  9. K

    Congo na Rwanda

    Congo ili kupigana Na Rwanda tunabidi tutumie Akili nyingi. Sawa Rwanda ni nchi ndogo kuliko Congo. Sawa Congo ni nchi yenye nguvu kuliko Rwanda ila tunatakiwa tujuwe walio nyuma ya Rwanda ni Akina Nani au Rwanda wana nguvu kiasi gani tusiseme tu Rwanda ni inch ndogo kumbe maskini ya Mungu...
  10. K

    Mchezo wa Megapolis unakufunza jinsi ya kuendesha nchi

    Mchezo huu unahusu kujenga inch ysko ya mtandaoni, kuufanya kuwa mzuri na wa kuvutia kwa wakazi wake, kuendeleza miundombinu ya kutosha ya viwanda, kuupatia maji na umeme, na kuwafanya marafiki na majirani wako wafurahie zawadi. Megapolis ni mchezo wa ujenzi wa nchi Na kizuri zaidi kwanye...
  11. K

    Kwanini Hayati Magufuli aliwapunguzia mishahara watumishi wa TMAA?

    Kuna vitu afrika nikivicheki Na Baki Na shangaa utakuta mtu au mfanyakazi ana penda apate mshaara mkubwa uku uchumi wa inch yake bado mdogo saana Kwanza hilitakiwa mishaara ipunguzwe kwa uwingi ili serekali ipate watu halali wa kufanya nao kazi sio wapenda pesa Pili hilitakiwa afrika...
  12. K

    Rwanda yasema iko tayari kulipiza kisasi dhidi ya DR Congo

    Wewe angalia kwenye statistics za inch zenye nguvu za kijeshi afrika
  13. K

    Rwanda yasema iko tayari kulipiza kisasi dhidi ya DR Congo

    Wewe una sikia DRC kwenye radio au vipi afrika tupo wa 8 ulimwenguni tupo wa 68 chezeni Na moto
  14. K

    Haya ya Jamaa kumpiga mke wake risasi omba Mungu yasikukute

    Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya saana kumpiga mke wake risasi. Kwangu Mimi nasema Sawa amefanya vibaya ila omba Mungu yasikukute. Sisi...
  15. K

    Tatizo la kichomi ni moja ya dalili za ugonjwa Moyo

    Kama bado upo nitafute ni kusaidie
Back
Top Bottom