Congo ili kupigana Na Rwanda tunabidi tutumie Akili nyingi.
Sawa Rwanda ni nchi ndogo kuliko Congo.
Sawa Congo ni nchi yenye nguvu kuliko Rwanda ila tunatakiwa tujuwe walio nyuma ya Rwanda ni Akina Nani au Rwanda wana nguvu kiasi gani tusiseme tu Rwanda ni inch ndogo kumbe maskini ya Mungu wana vifaa vya mangamizi kuliko sisi au walio nyuma ya Rwanda wana nguvu kuliko sisi Sasa ina bidi tujipange vizuri tusije tukapigwa mpaka kusambaratika inch Tena tunawachia wao pale wanaweke kibaraka chao Tena sisi tuna kuwa watumwa wao.
Ninachoweza kusema kwa inch yangu Congo inabidi tutumie Akili nyingi saana ili kuzibidi Rwanda vizuri
Sio kuandamana saana kama wajinga ni upumbavu mkubwa inch kama Congo kuandamana Kisa Rwanda yaani wakongo sisi ni Mungu tu na akishajua kifaransa vizuri ndo basi tumekufa Ivo.
Tunacho paswa kufanya ni hiki Rwanda kule wenyewe wanakuwaga Na migogoro Yao kati ya watusi Na wauti na ambao wamechoka Na udicteta wa Kagame na wengine wengi Sasa sisi wakongo inabidi tutumie Akili yetu vizuri kuwachonganisha wao kwa wao na amini watapigana tu na wakianza kupigana sisi Congo tunafadhili kikundi kile ambacho kitakuwa kinapigana Na kikundi cha raisi kwa kuwapa vifaa vya kisasa Na kuwapa uduma zingine alafu sisi Sasa tunaweza kutumia njia hiyo kumtowa Kagame madarakani Na kupandikiza kibaraka wetu pale.
Kuliko kupigana vita hiyo ni Atari kubwa kwa taifa letu maana Na amini tutashindwa tu.
Sawa Rwanda ni nchi ndogo kuliko Congo.
Sawa Congo ni nchi yenye nguvu kuliko Rwanda ila tunatakiwa tujuwe walio nyuma ya Rwanda ni Akina Nani au Rwanda wana nguvu kiasi gani tusiseme tu Rwanda ni inch ndogo kumbe maskini ya Mungu wana vifaa vya mangamizi kuliko sisi au walio nyuma ya Rwanda wana nguvu kuliko sisi Sasa ina bidi tujipange vizuri tusije tukapigwa mpaka kusambaratika inch Tena tunawachia wao pale wanaweke kibaraka chao Tena sisi tuna kuwa watumwa wao.
Ninachoweza kusema kwa inch yangu Congo inabidi tutumie Akili nyingi saana ili kuzibidi Rwanda vizuri
Sio kuandamana saana kama wajinga ni upumbavu mkubwa inch kama Congo kuandamana Kisa Rwanda yaani wakongo sisi ni Mungu tu na akishajua kifaransa vizuri ndo basi tumekufa Ivo.
Tunacho paswa kufanya ni hiki Rwanda kule wenyewe wanakuwaga Na migogoro Yao kati ya watusi Na wauti na ambao wamechoka Na udicteta wa Kagame na wengine wengi Sasa sisi wakongo inabidi tutumie Akili yetu vizuri kuwachonganisha wao kwa wao na amini watapigana tu na wakianza kupigana sisi Congo tunafadhili kikundi kile ambacho kitakuwa kinapigana Na kikundi cha raisi kwa kuwapa vifaa vya kisasa Na kuwapa uduma zingine alafu sisi Sasa tunaweza kutumia njia hiyo kumtowa Kagame madarakani Na kupandikiza kibaraka wetu pale.
Kuliko kupigana vita hiyo ni Atari kubwa kwa taifa letu maana Na amini tutashindwa tu.