Binafsi naona ni bora ufanyiwe interview na mzungu,ni wawazi na hawana longo longo.Waswahili atakuja na maswali ya kukokomoa ili uonekane huwezi ili wampe nafasi wanaemtaka
Mimi binafsi kisa changu ni kina changamoto sana.Nilipomaliza chuo mzee alinishawishi nirudi nyumbani nikae nyumba ya wapangaji.Nikakubali nkarudi nyumbani.Nyumbani visa vikaanza tukagombana na mzee hapo mama wa kambo nadhani alichangia asilimia kubwa kwa ugomvi usio na kichwa na miguu.Yani...
Nimefanya aptitude ya Hawa jamaa inaenda Wiki ya 3 sijapata jibu.Kwa waliowahi kufanya naomba kujua wanatoaga majibu ya aptitude ndani ya mda gani?na wanatoaga majibu kwenye email au wanapiga simu??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.