Hawawezi zimaliza hizo nafasi maana ni nyingi sana alafu kila kituo kinakuwa na watu wa4UVCCM wameshazichukua nafasi zote na wapo training muda huu
Kuna yoyote ana idea lini nafasi za kusimamia vituo vya uchaguzi zinatoka na je unatuma wapi maombi?
aiseeJe,....
1. Wewe ni mwana Nyundo na Jembe Kindakindaki?
2. Umeshaihuisha ( Renew ) Kadi yako ya Mnazi Mmoja mkabala na Mahakama?
3. Una Sifa za kuwa Mnafiki?
4. Unaweza Kuongopa kuliko hata Shetani Lucifa?
5. Una Roho Mbaya iliyotukuka?
6. Kujipendekeza na Kujikomba ni sehemu yako ya Maisha?
7. Una Historia nzuri ya kuwa Mwizi na Kutokamatwa?
Kazi Kwako Mkuu!
daaaJe,....
1. Wewe ni mwana Nyundo na Jembe Kindakindaki?
2. Umeshaihuisha ( Renew ) Kadi yako ya Mnazi Mmoja mkabala na Mahakama?
3. Una Sifa za kuwa Mnafiki?
4. Unaweza Kuongopa kuliko hata Shetani Lucifa?
5. Una Roho Mbaya iliyotukuka?
6. Kujipendekeza na Kujikomba ni sehemu yako ya Maisha?
7. Una Historia nzuri ya kuwa Mwizi na Kutokamatwa?
Kazi Kwako Mkuu!
Ukiona manyoya........Hawawezi zimaliza hizo nafasi maana ni nyingi sana alafu kila kituo kinakuwa na watu wa4
PolicCM na mgambo wao WaPo Weng tu ondoa Dhaka we omba tena vijijini kule ndo kuzuri 12 tu mshabandika matokeo mnasubiri tu kalandika lije kuwasomba na masanduku yenuKwahiyo watu wameshaanza kuomba..? Ila mhh hz kazi zina risk hukawi kupigwa mchana kweupe na wahini
Kweli kabisa, hebu tujaribu bahatiPolicCM na mgambo wao WaPo Weng tu ondoa Dhaka we omba tena vijijini kule ndo kuzuri 12 tu mshabandika matokeo mnasubiri tu kalandika lije kuwasomba na masanduku yenu
Je,....
1. Wewe ni mwana Nyundo na Jembe Kindakindaki?
2. Umeshaihuisha ( Renew ) Kadi yako ya Mnazi Mmoja mkabala na Mahakama?
3. Una Sifa za kuwa Mnafiki?
4. Unaweza Kuongopa kuliko hata Shetani Lucifa?
5. Una Roho Mbaya iliyotukuka?
6. Kujipendekeza na Kujikomba ni sehemu yako ya Maisha?
7. Una Historia nzuri ya kuwa Mwizi na Kutokamatwa?
Kazi Kwako Mkuu!
Naomba ieleweke wazi. Mimi Msukuma wa dar n Shabiki wako hapa jamvini..
Uwezo wako wa kugeuza jambo LA msingi kuwa komed n jambo LA kipekee sana..
Heko kwako..