Mimi nilifika kabisa ofisini kwao baada ya kuona kimya kimezidi, nikatoleana sana namba na wale masai wa getini pale.
Duh vp hukupigwa hata Rungu mana wamasai wakikaa maeneo hayo wanajiona wao ndo kila kitu
Mimi nilifika kabisa ofisini kwao baada ya kuona kimya kimezidi, nikatoleana sana namba na wale masai wa getini pale.
Fani gan wameanza kuitwaHizi kazi Kuna mtu kanambia wameanza kuitwa
Wamasai waa yapi markez ukijilengesha anga zao wanakutundika mshale wa sumuDuh vp hukupigwa hata Rungu mana wamasai wakikaa maeneo hayo wanajiona wao ndo kila kitu
MechanicalFani gan wameanza kuitwa
Engineer aw !?Mechanical
Mpaka leo sijapata responce toka niwatumie mail.yaan wametangaza ndio ila hawaajiri na ukituma email inafika fresh tu ila haifanyiwi kazi.
Hawa jamaa yarp markenz sijui ni dharau au,,, maana nilutuma email na kupeleka vyeti vyote mpaka kesho hakuna responded ya e-mail wala barua,,, Mimi ni operator wa mitambo!Mpaka leo sijapata responce toka niwatumie mail.
May b n kwel
Kwa nn nduguTakukuru wangeangazia jinsi shughuli nzima ya uajiri inavyoendelea kule Tabora
Kwa sababu sijasema Serikali Mkuu, nimesema Takukuru waangazie ama wakazie pande zile, ama kama sio kuangalie basi wKashinde maeneo yale japo kwa siku chache tu.