Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 633
- 417
Ukisha fail hawakupi matokeo na ukijaribu kuomba tena hawashughuliki na wewe
DUH KUMBE.
Ukisha fail hawakupi matokeo na ukijaribu kuomba tena hawashughuliki na wewe
Hapana Hawa jamaa hata ukifeli lazima wakutumie matokeoUkisha fail hawakupi matokeo na ukijaribu kuomba tena hawashughuliki na wewe
Nimeandika kile kilichonitokea mimi, nilifanya test ya kwnza nikawa nimepungukiwa na marks chache wakanipa second chance ambayo matokeo yake sikuyaona mapaka nilipoomba kwa email wakanijubu tu kuwa samahani hukufikisha maksi tulizo tarajia toka kwa mtu kama ww. Ni ngapi walitarajia na ni ngapi nilipata ilibaki kwao. Hii siyo hadithi na recruitment agency ni INDEED na siyo wao Alistair kama ulipewa matokeo baada ya kufeli basi wewe ulikuwa na bahati.Hapana Hawa jamaa hata ukifeli lazima wakutumie matokeo
Awa jamaa ni kampuni tu ya usafirishaji lakini interview zao ni konyo kama wanafanya usafirishaji wa kupeleka mizigo sayari ya Mars au Mwezini.Aptitude ya hawa jamaa ni pasua kichwa nilishafanya mara mbili, mara ya kwanza waksema nilikaribia kupass hivo wakanipa chance ya pili, hapa bwana niliwashirikisha washikaji wawili mimi wa tatu, mmoja ana Diploma kutoka kilichokuwa chuo cha umeme Kidatu na Degree ya IT open university, wa pili ana degree ya nutritiona and Food science SUA, Nami nina graduate wa Tourism, mzee mtanange ukaanza wazee tukakomaa, majibu kuja nimekula ban, nikasema asante Alistair, asante INDEED recruitment agency UK
Hongera ukiwa na internet nzuri siyo mbaya sana, mara nyingi tatizo huwa ni mudaNimefanya tarehe 15 july then tarehe 21 july wamenitumia email kuwa nimepass so nawait sijajua what next
Yaani hizi test zao zinaboa kweli nimeshawahi jibu ni hatari mkuu huwezi jibu bila msaada
Ukisha fail hawakupi matokeo na ukijaribu kuomba tena hawashughuliki na wewe
Mbona mwanzo hawakunipa matokeo ila juzi wamenitumia link ya testUkisha fail hawakupi matokeo na ukijaribu kuomba tena hawashughuliki na wewe
Mbona mwanzo hawakunipa matokeo ila juzi wamenitumia link ya test
Wanakupa nafasi nyengine wengi wanashindwa ukijaza tafuta wasaidizi kama wawili mtaenda sawa
Mimi niliifanya test mwaka juzi ilikuwa ya ajabu sijapata kuona halafu nilikurupuka tu sikujiandaa sikutoboa,sasa hivi kila nikiomba wananipotezea tu.Wanakupa nafasi nyengine wengi wanashindwa ukijaza tafuta wasaidizi kama wawili mtaenda sawa
Sure hii imenikuta ndugu wamesha niona failure kwa post zijazo wanazuia kuomba new posts.Test zao huwa ni generic yaani ukifeli mara moja basi ndo nitolee hiyo wanakupiga ban kabisa kwenye database yao usiombe tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo hesabu ni za level ipi? Na je unaweza kuijaza hiyo test kwa kutumia smartphone?Nilifanya mwenyewe mkuu, calculator muhim, computer lazima na internet yenye speed nzuri tu inatakiwa kukamilisha zoezi hilo.
unaweza ndio kwa kutumia smartphoneHizo hesabu ni za level ipi? Na je unaweza kuijaza hiyo test kwa kutumia smartphone?