Recent content by Kizibo

  1. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Marekani yaishambulia kwa makombora Iran kwa walichokiita ni hali ya kujilinda dhidi ya vitisho vya Iran

    Kwa wakristo, kuna wakati.. ★Marekani anakuwa Mpinga kristo ★Mafrimason na Illuminati ★Waeneza ushoga ★Mkombozi wa Wakristo. Inategemea ni wakati gani
  2. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Simba hii ya Baker Inatisha: Yanga tujiandae kisaikolojia

    Bado hamjasema
  3. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Sipendezwi sana na mashambulizi ya matusi kutoka Kwa viongozi wa Chadema kwenda kwa police

    Naunga mkono hoja. Hilo swala limekuwa likinikera toka zamani
  4. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Kama ya wanaume wanaita kitambi, je ya wanawake tunaitaje?

    "Kitambi chako babe hakijakaa vibaya/ Wanaokiponda wakome wana izaya/ Kila nguo inakukaa babe wa moto faya/ Usiwe na kitambi kwani we mwimba kwaya?/ We ni natural hupendi kujipodoa/ Nimezama kwako nani wa kunitoa?/ Mungu kakupa guu, nyama kakukomoa/ Ila ninachopenda kwako babe, hiko kitambi.😀😀😀
  5. Kizibo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DUNIA YA AJABU SANA

    .
  6. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mbona naona kama mpigaji alimiss target!
  7. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Mapinduzi ya Mijadala JamiiForums: Zana Mpya za Akili Unde (AI) zinakuja Wikendi hii!

    Hiyo AI itaweza kutusaidia kutafuta waganga wa kweli?
  8. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Seleman Kokoso: Serikali iongeze tozo kwenye mawasiliano ya simu ili kusaidia kujenga barabara

    Mimi nina swali tu. Kama Tarura ni wakala wa barabara mjini na vijijini, Tanroads inahusika na barabara za wapi??
  9. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Robo Fainali UEFA: Liverpool na Barcelona kufanya 'Comeback' dhidi ya PSG na Atletico leo?

    Barca yupo ugenini au nyumbani?
  10. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mavyuma vyuma yameisha?
  11. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    Yeyote anayebisha kuwa hakuna uchawi aweke majina yake HALISI matatu na ya mama yake.
  12. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwa mara ya 2 Kobaz wanawaaibisha kafir
Back
Top Bottom