Recent content by Kizibo

  1. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Hii bundiki ndio imetumika na kuuzwa zaidi Dunia na imeleta maafa ya kutisha.

    Usiombe mjahedeen ashuke hiyo kitu
  2. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

    Kwa ujumla,Ukristo na uislam ni upumbavu
  3. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Je, katika hali ya kawaida, unaweza ukatafuna wembe ukasagikia mdomoni bila kupata maneraha hata kidogo na ukaumeza na usidhurike?? Ikiwa, mtu akakuka mizizi ya miti Fulani, kisha akakupa wembe utafune, ukatafuna vizuri, wembe ukasagika na akakwambia umeze na ukameza bila kudhurika hata...
  4. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Mpanzu anaudhi sana yule mkuda. Anakimbia na mpira weeeeeee, watu washafungua, badala atoe pas anang'ang'ana na mpira, mwisho wa siku anapokonywa mpira. Fvvçk u Mpanzu
  5. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Mind game
  6. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Sierra Leone: Serikali yafuta Mashtaka ya Uhaini dhidi ya Rais wa Zamani, Ernest Bai Koroma

    Hiyo nchi ina balaa zito sana. Ukitaka kuelewa balaa walilopitia zaidi, Kasome kitabu cha Ishmael Bea, aliekuwa mwanajeshi mtoto (child soldier) baadaye akatokamo kwa msaada wa Unicef. Mwamba anasimilia ukatili alioushuhudia kwa macho yake na ukatili alioufanya kwa mikono yake. Humo utakutana...
  7. Kizibo

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Enzo Fernandez, kwake Mac Arista, Mac Arista kwake Messi..Messii..Messiiiiiiiiiiiiii..........Wwya waya wayaaa..Waya wa Umeme Wayaaaaaaa
  8. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa wilaya na Polisi wilaya ya Ukerewe wameshindwa kukomesha wizi na vibaka

    Moja kwa moja kwenye mada. Wilayani Ukerewe kumekuwepo na wimbi kubwa na wizi wa kuvunja maduka na vibaka mitaani hasa usiku. Hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kuvunja maduka na kuingia kuiba pesa. Wezi hao wanapitia kwenye paa, wanakata nyaya za cctv kamera na kuiba pesa. Pia...
  9. Kizibo

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Oouuut kmmakee😀😀😀😀😀 Nimefurahiiiiii
  10. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Usikatae wito wa Baraza la Ardhi

    Naomba kujua gharama za kibali cha ujenzi wa nyumba ya kawaida ya kuishi Wizara ya Ardhi
  11. Kizibo

    JamiiForums Tanzania FT: France 0-2 Spain | World Cup 2026 | AT&T Stadium | 14 Julai, 2026 | 4:00 Usiku | France out . Spain Fainal

    Mbape ametanguliziwa kwanza mtoto (Yamal) kabla ya kukutana na Babangida (Messi)
  12. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Kwa watalam wa tiba asilia. Je mtoto wa miaka 2 anaweza kutumia kitunguu swaumu?

    Asanteni kwa ushauri wenu wakuu!!!
  13. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Kwa watalam wa tiba asilia. Je mtoto wa miaka 2 anaweza kutumia kitunguu swaumu?

    Habari wakuu. Jez mtoto wa miaka 2 anaweza akatumia kitunguu swaum kumeza?? Nataka nianze utaratibu wa mtoto wangu awe anameza nusu punje ya kitunguu swaum asubuhi kabla ya kula chochote. BabaVladimir [USER=227987]BIN NUN @At el
  14. Kizibo

    JamiiForums Tanzania Serikali inapaswa kuchukua hatua za kuliponya taifa kabla hali haijawa mbaya zaidi

    Kikawaida pale raia walitakiwa wabamie jukwaa wamkamate yule jamaa wamrarue rarue kisha watawanyike. Ile ilikuwa ndo fursa adimu ya kuanzisha maandamano pale pale.
Back
Top Bottom