Je, katika hali ya kawaida, unaweza ukatafuna wembe ukasagikia mdomoni bila kupata maneraha hata kidogo na ukaumeza na usidhurike??
Ikiwa, mtu akakuka mizizi ya miti Fulani, kisha akakupa wembe utafune, ukatafuna vizuri, wembe ukasagika na akakwambia umeze na ukameza bila kudhurika hata...