Mpanzu anaudhi sana yule mkuda. Anakimbia na mpira weeeeeee, watu washafungua, badala atoe pas anang'ang'ana na mpira, mwisho wa siku anapokonywa mpira.
Fvvçk u Mpanzu
Hiyo nchi ina balaa zito sana. Ukitaka kuelewa balaa walilopitia zaidi, Kasome kitabu cha Ishmael Bea, aliekuwa mwanajeshi mtoto (child soldier) baadaye akatokamo kwa msaada wa Unicef.
Mwamba anasimilia ukatili alioushuhudia kwa macho yake na ukatili alioufanya kwa mikono yake.
Humo utakutana...
Moja kwa moja kwenye mada.
Wilayani Ukerewe kumekuwepo na wimbi kubwa na wizi wa kuvunja maduka na vibaka mitaani hasa usiku.
Hivi karibuni kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kuvunja maduka na kuingia kuiba pesa. Wezi hao wanapitia kwenye paa, wanakata nyaya za cctv kamera na kuiba pesa.
Pia...
Habari wakuu.
Jez mtoto wa miaka 2 anaweza akatumia kitunguu swaum kumeza??
Nataka nianze utaratibu wa mtoto wangu awe anameza nusu punje ya kitunguu swaum asubuhi kabla ya kula chochote.
BabaVladimir [USER=227987]BIN NUN @At el
Kikawaida pale raia walitakiwa wabamie jukwaa wamkamate yule jamaa wamrarue rarue kisha watawanyike.
Ile ilikuwa ndo fursa adimu ya kuanzisha maandamano pale pale.
CCM wanaamini kwamba:
"MAJI HATA YACHEMKE VIPI HAYAWEZI KUUNGUZA NYUMBA"
Halafu wnakwambiaje
"Tunaweza kufanya chochote na nyie raia hamna cha kutufanya, mtapiga kelele miezi 3 kisha mtasahau"
Sisi raia ni waseng*e waseng*e na hatuna cha kuwafanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.