"Kitambi chako babe hakijakaa vibaya/
Wanaokiponda wakome wana izaya/
Kila nguo inakukaa babe wa moto faya/
Usiwe na kitambi kwani we mwimba kwaya?/
We ni natural hupendi kujipodoa/
Nimezama kwako nani wa kunitoa?/
Mungu kakupa guu, nyama kakukomoa/
Ila ninachopenda kwako babe, hiko kitambi.😀😀😀
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.