Recent content by Kizazi jeuri

  1. Kizazi jeuri

    Msaada tafadhali, naachikaje?

    Tulia na ndoa yako wala usijali, pesa za deal zinaelekea kwisha hivyo lazima pombe na mengine yatakuwa na kipimo. Tulia tulia utaona maajabu Soon.
  2. Kizazi jeuri

    Sijui kwanini nachepuka

    Nimeshajituliza namuona mke wangu mrembo hakuna kama yeye sayari hii.
  3. Kizazi jeuri

    Je, unamjua Masamaki anayekaa Pugu Kajiungeni?

    Kwa kuonga yupo vizuri sana. kuna hotel moja clock tower mbona msiba.
  4. Kizazi jeuri

    Je, Mwenzi wako aliwahi kuyasikia maneno haya?

    Ukijua thamani ya mke wako utampenda na kumjali, na pia utakuwa muwazi kwake juu ya hisia zako.. kuna kupenda bila kujua thamani yake na ilo ndio tatizo.
  5. Kizazi jeuri

    Team Lowassa itakwepwaje? Watatenda kwa haki?

    Sasa ng'ombe mzima wote kalika, Mh Rais ashindwe na mtu mmoja mmoja wakati ameshakishinda chama kikubwa? tuweni wakweli Watanzania.
  6. Kizazi jeuri

    Old Mwanza: Ofisi za mitaa za CHADEMA zaanza kufungwa na samani kuondolewa

    Rais anasema fanya kazi.. wewe unaanza majungu mtandaoni, kweli kazi tuu
  7. Kizazi jeuri

    The Hague: Huwezi kuikwepa

    Kila mtu kasikia na kaona kilichotokea haina haja ya wewe kujifanya umeona au umesikia mpaka uwe unatoa maelezo ya ajabu kiasi hiki.
  8. Kizazi jeuri

    Catch me if you can boy

    Wewe unamwonaje mkuu? Huyu mtundu, mtundu kweli.
  9. Kizazi jeuri

    Catch me if you can boy

    Huyo alikuwa mdebwedo au matairi yalikuwa hayazunguki..
  10. Kizazi jeuri

    Mume wangu hataki kunipa chakula cha ndoa

    Kaa nae chini hongea nae maana maisha ya sasa hatari, unaweza kukuta anadaiwa hajarejesha hata mikopo wewe kaa nae chini hongea nae, sio bure anamatatizo na wala usimfikirie vibaya.
  11. Kizazi jeuri

    Una geto lina kila kitu? Tukae wote nikulipe hela ya pango kila mwezi au kila miezi 3

    Tafadhali utupe mrejesho baada ya week kuanza maisha ya gheto
  12. Kizazi jeuri

    Umeichoka ndoa yako?

    Kila kitu ni kizuri sana, ila chamsingi wewe fanya vizuri utaona uzuri wake, japo uzuri wake utakuja sio kwa wakati. Kwa mfano huwezi kuwa mchafu wa dhambi Eti ukampata mke mzuri au mume. Jinsi ulivyo unawakilishwa na matendo yanayo kukuta au unayopitia. Kuwa na hofu ya mungu hutashindwa na...
  13. Kizazi jeuri

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea Mwenza wa urais kupitia CCM, Samiah Suluhu

    Hata kama huyu Mama hayupo katika chama chako basi jitaidi kuwa na heshima, usipo kuwa na heshima hiyo ni laana nyingine. Kuwa na heshima
  14. Kizazi jeuri

    Yussuf Manji: Kingunge ni mnafiki, alilikata jina lake uchaguzi 2005!

    Kuna watu kama Manji, yaani daah! Basi tuu.
Back
Top Bottom