Recent content by Kivumah

  1. Kivumah

    Tribute to Sanctus Mtsimbe: Sio tu ni smart kwa mavazi na muonekano, pia ni smart kwa mawazo, maneno, na matendo, na very smart upstairs!

    Pumzika kwa Amani Sanctus Mtsimbe, indeed alikuwa very smart kichwani, nilikuwa nikiona andiko lake nakimbia kuangalia kaandika nini
  2. Kivumah

    Tribute to Mwana JF Mwenzetu William Malecela Le Mutuz, Alikuwa Mtu wa Watu

    Pumzika kwa Amani Field Marshall ES
  3. Kivumah

    William Malecela Toka BCS - Jambo hadi JamiiForums

    Pumzika kwa Amani Field Marshall EM
  4. Kivumah

    Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

    Maxence Melo ....MUBYAZI njoo bana unaitwa huku
  5. Kivumah

    Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

    Maxence Melo Njoo "ulaiki" post
  6. Kivumah

    Naomba kufahamishwa wasifu wa Dkt. Wilson Mahera, Mkurugenzi mpya wa Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC)

    Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Arusha, alikuwa ni Mwalimu wa Hesabu UDSM, ni mtendaji na mfatiliaji. Kwa uongozi wake, alifanikisha Shule ya Sekondari ya kata inayoitwa MWANDET iliyopo Arusha kuingia katika Top Ten ya Shule zilizofanya vizuri matokeo ya kidato cha...
  7. Kivumah

    Tumsaidie Steven Mdoe aka Dj Steve B anaumwa sana

    aliemleta Stevie B pale Clouds FM (CMG), ni Ruge Mutahaba, kipindi hicho jamaa yupo East Africa Redio, kipindi cha The Cruz. Ruge aliwahi ulizwa ni Dj gani anaemkubali ambae hayupo Cloud, akamtaje Stevie B, from there Steve akaja Clouds, kipindi hicho kufanya kazi Clouds ni ujiko mjini Ndie Dj...
  8. Kivumah

    Nini/taratibu gani za kufuata ili kuwa Wakala wa Bima?

    Swali: Nawezaje kuwa Wakala wa shughuli za kutoa huduma za Bima, hasa Bima za magari Mwenye ufahamu tupe shule tafadhali
  9. Kivumah

    Kuchangamkia fursa: WaTZ tuna matatizo!. Pongezi Rais Magufuli kuwa M/Kiti SADC, usiposaidia WaTZ kuchangamkia fursa, tutaishia kuwa watazamaji tu!.

    Waganda wanaagiza Nguo kutoka China, mzigo unapitia katika Bandari yetu ya Dsm, unapelekwa Uganda, then sisi Watanzania tunasafiri kwenda Kampala kununua Nguo zilizopitishwa katika bandari yetu. Kwanini sisi hatuagizi nguo kutoka China. HATUJACHANGAMKA Nimeguswa
  10. Kivumah

    Yericko Nyerere adai kuingiza zaidi ya Tsh milioni 220 kwa kuuza vitabu Amazon

    Hongera sana kamanda Yericko Nyerere Ikikupendeza changia sehemu ya mapato hayo kwa ajili ya uendeshaji wa Jamii Forums
  11. Kivumah

    Madaam Poshy, mbunge mtarajiwa atinga mjengoni

    Kaenda kuomba Mawigi yasipigwe Kodi
  12. Kivumah

    Je, ni nini kitatokea tukiamua kila mkoa ujitegemee kwa mapato yake?

    Hii ilikuwa ni ilani ya CHADEMA endapo ingepewa ridhaa kuongoza Nchi. Kuanzisha Serikali za Majimbo au states, ni mawazo mazuri
  13. Kivumah

    Rais Magufuli awaalika Ikulu Wafanyabiashara wakubwa watano kutoka kila Wilaya

    Nimewaza Juzi alivyoenda South Africa alisafiri na JK na walikaa siti moja, nadhani JK alimpa makavu live na sasa kaona isiwe shida arudishe mpira nyuma aanze upya
Back
Top Bottom